tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Kwa hilo me sina uhakika, but duka analo na hata huwa ana huduma inaitwa mkopo express kama sikosei. Hata ukiingia kwenye blog yake nahisi utaona baadhi ya vitu anavyouza dukani kwake.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Huyo ni mzima ila anajifanya chizi tu,kma anabiashara c timamu huyo yani anatuaibisha wachaga ila hatuna cha kufanya