Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Afadhali siyo Msukuma maana angekuwa Msukuma tungekoma [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Kwenda sana ulaya hakuondoi ushamba
Huyu mbutu anazidiwa ujanja na mabinti wa buza
Mwanamke gani ata kupose kwny picha hawezi[emoji848]View attachment 2556348
Mkuu umeamua uchomoe betri.Kutana na Mwana mitindo wa kimataifa Mbuta nanga[emoji1787]View attachment 2556363View attachment 2556364View attachment 2556365
Kumbe ni mchaga,.....nilitaka nishangae mtanzania gani ana shape mbaya hivyoAnaitwa florah lymo ila yeye huwa anajiita hivyoo
Ukweli lazima usemwe,......yaani lishepu libaya,jitu limekomaa umri wa kulea wajukuu linavaa vichupi,ulientertain kisa tu ana pesa.......hapanaaaaaJaman jaman muacheni dada wa watu.
Nami niliingia kwenye mkumbo wa kumlaumu Ngosha,Uyo mbuta dish limeyumba,
Kuna kipind alidate na mc pilipili
Ilikua ni vituko Kila kukicha mitandaoni
Akijaribu kushow love Kwa kipenzi chake pilipili[emoji1787]
View attachment 2556334
Mbuta Nangaaaa Dahhh!!akili zake zinamtosha mwenyeweHivi Mbuta nini sijui, ndio yule mwanamke kuna wakati alikuwa anaweka picha zake akiwa na vichupi kwenye blogs?
Huyu mama kichwa yake iko kama inapata moto hivi. Kuna kipindi alijitokeza sana kwenye mitandao kwa skandali mbalimbali. Pia walikuwa na ligi ya matusi na Mange. Nilishamsahau. Huyu ni mtu wa maonyesho katu asingeweza kutafuta rika lake.😂😂😂🙌🙌
Kumbe alikuwa anaigiza basi ngoja apate halali yakeHuma mama kichwa yake iko kama inapata moto hivi. Kuna kipindi alijitokeza sana kwenye mitandao kwa skandali mbalimbali. Pia walikuwa na ligi ya matusi na Mange. Nilishamsahau. Huyu ni mtu wa maonyesho katu asingeweza kutafuta rika lake.
Nami niliingia kwenye mkumbo wa kumlaumu Ngosha,
Ila kwa picha hii Ngosha anastahili pole za kutosha.
Kwani mwanzo hakujua mbutananga alivyo??mbona bado anaomba kurudi kwa mbuta kama ni mbaya??
Wanawake kibongo wanaoishi UK wanakwama wapi? Huwa wanapenda sana kuja Bongo ''kuoa'' wanaume. Kuna yule mwingine aliuawa na mwanaume aliyemtoa Bongo.Nami niliingia kwenye mkumbo wa kumlaumu Ngosha,
Ila kwa picha hii Ngosha anastahili pole za kutosha.
Nilikuwa huko juzi pisi zenu mbona za kawaida tuu
Inategemea na matumizi yake kama ni ya ovyo agharamie mwenyewe. Ukimwendekeza sana mwanamke unapotea. Akili mingi inatakiwaMwanaume kamili hawez ogopa invoice ya ke anayempenda na kumla
Kuna nini😂😂😂😂muulize mzabzab huww wanatoa za nini?