Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika angepata rehema?? Wivu huo kwa mifugoSAWA TU.ila angewaachia watoto yatima au maskini kwa mkataba wa kulea hao wanyama angebarikiwa sana au angeuza na kuwapa maskin angepata rehema kubwa kwa MUNGU
Ngoja niibe hii avatar nikajiwekee somewhere else na mimi🌝🌝Huyu mbwa ndo baadae anabadilika kuwa binadam anajiita snoop dogg
D.O Motherfuck**r double G
Kawakomesha wakati alishawapa cha kwao wakasepa zao, hivi kuna mzazi alieenda leba kulia na ile mikasi inayoongeza njia, mwanae akamuomba Samaki akampa nyoka? We elewa hio ya Mbwa na Paka ni bonus tu Ila media imeshindwa kuwasilisha vizuri watoto washachukua share yaoKawakomesha kweri kweri [emoji1]
Ova
🤣🤣🤣🤣Eeeeh! Imenibidi nirejee huko juu.
Tukimbie kidogo this area ain't chill,gotta watch out.
Sijakuelewa ukajifanyajeNgoja niibe hii avatar nikajiwee somewhere else na mimi🌝🌝
Nichukue na mimi uniweke kwa moyo wakoNgoja niibe hii avatar nikajiwee somewhere else na mimi🌝🌝
Nikajiwekee mkuu.. I mean kuweka 😃😃, Kwan we uliwaza Nini?Sijakuelewa ukajifanyaje
Na ukorofi uache.🤣🤣🤣🤣
Sema tatizo nafasi imebakia ya avatar tu🌚Nichukue na mimi uniweke kwa moyo wako
Basi nitaendelea kusubiri siku nafasi ikiwepo usinisahau naiihitajiSema tatizo nafasi imebakia ya avatar tu🌚
Nimeacha muda ukorofi, nimeokoka nampenda Yesu 😁Na ukorofi uache.
Ok,inatakiwa sasa umfuate huko private na kufahamu tatizo nini na sio kukorofisha.Nimeacha muda ukorofi, nimeokoka nampenda Yesu 😁
Usijali, ngoja ninote jila lako... Basi rudisha Ile mkuu me niweke hii😉🙈🙈Basi nitaendelea kusubiri siku nafasi ikiwepo usinisahau naiihitaji
Nitamfata, ila katudhalilisha kwamba hatujui kutunza mke 😜Ok,inatakiwa sasa umfuate huko private na kufahamu tatizo nini na sio kukorofisha.
😅 Oh!God,nipe nguvu .Nitamfata, ila katudhalilisha kwamba hatujui kutunza mke 😜
Imetoka hiyoo..tupambane tuTuombe tu mara ya pili tukazaliwe mbwa huko majuu😂😂
ona sasa unanisaliti😃😃Imetoka hiyoo..tupambane tu
Aaahh wapi..mimi tuko pamoja yan..u sound like beliving in incarnation, is it??? If so, bas maombi yatajibiwa!! 😁ona sasa unanisaliti😃😃
Kwenye hela I can believe anything😃😃Aaahh wapi..mimi tuko pamoja yan..u sound like beliving in incarnation, is it??? If so, bas maombi yatajibiwa!! 😁