Mbwa na paka warithishwa Tsh billion 7, ni baada ya watoto wake kutomtembelea

Mbwa na paka warithishwa Tsh billion 7, ni baada ya watoto wake kutomtembelea

Hapo mimi ningekuwa ni jirani na makazi ya huyo bibi ningehakikisha najiweka karibu na huyo paka na mbwa na kuwapa upendo wa hali ya juu na nitakapoulizwa nitasema mimi na hawa wanyama tumeumizwa sana na huu msiba wa bibi, yule ndie alikuwa mzazi wetu, sasa sijui sasa hivi Fifi (paka) na Boubou(Mbwa) watalala vipi ila nitajitahidi kuwapa faraja.
 
Hapo mimi ningekuwa jirani na makazinya hao bibi ningehakikisha najiweka karibu na huyo paka na mbwa na kuwapa upendo wa hali ya juu na nitakapoulizwa nitasema mimi na hawa wanyama tumeumizwa sana na huu msiba wa bibi, yule ndie alikuwa mzazi wetu, sasa sijui sasa hivi Fifi (paka) na Boubou(Mbwa) watalala vipi ila nitajitahidi kuwapa faraja.
Aaahh wapi..Paka wa ulaya au mbwa, wana akil kuliko hata proffesor wa pale yudisim..wangekutolea nje tu
 
Aaahh wapi..Paka wa ulaya au mbwa, wana akil kuliko hata proffesor wa pale yudisim..wangekutolea nje tu
Nitatumia vitisho wakileta ubwege, tia mbata kama hawataki kushow some love. Mbele ya hela wanaleta ufala.
 
wakate rufaa, waseme alikuwa amechanganyikiwa kwa ugonjwa wakati akiandika huo wosia
Kwani zao mkuu, mirathi sio lazima wapewe watoto
Huku Ulaya yanatokea sana na watoto wengi hawasubiri wala kuwaza mirathi bali wakifika 18 wanasepa kutafuta chao
Kuna wazee wengi wanaacha urithi kwenye Charities wanazozipenda kama Cancer researcher na vipofu, na zingine kama children hospitals au hata pa kulelea wazee kama Care homes
Ni kawaida sana
Sasa miaka kibao naumwa wala hunijali wala kunisaidia hata Salaam halafu nikifa uje kuuliza nimeacha nini?
 
SAWA TU.ila angewaachia watoto yatima au maskini kwa mkataba wa kulea hao wanyama angebarikiwa sana au angeuza na kuwapa maskin angepata rehema kubwa kwa MUNGU
wachina hawamuamini mungu, mnadhani kila mtu duniani ni mkristo/muislamu?

hizo imani ndo zinawarudisha nyuma mnashindwa kutumia akili vizuri
 
Nitatumia vitisho wakileta ubwege, tia mbata kama hawataki kushow some love. Mbele ya hela wanaleta ufala.
Kwahiyo utamtia mbata bull dog au german sherphad..wale sio mbwa wa kihodombi au kitanzini..sio mbwa wa kawe au tandale hao..😂
 
SAWA TU.ila angewaachia watoto yatima au maskini kwa mkataba wa kulea hao wanyama angebarikiwa sana au angeuza na kuwapa maskin angepata rehema kubwa kwa MUNGU
Huyo Mungu kule China hayupo, labda useme angefanya jambo la kibinadamu na angekumbukwa.
 
Hao watoto vilaza sana,hawajui kusoma alama za nyakati...yaani mama Mzee ana B 7 bank huyo ni wa kumuuguza bega kwa bega,maana huyo anakuwa tayari ana Uraia pacha wa mbinguni na wa duniani.
 
Ukiona hivyo, watoto wanajiweza pia kama wametoka kwenye familia ya mama mwenye bil 7, hio hela sio issue kwao.

Halafu huyo kama magonjwa ya uzee ndio tatizo, basi hata watoto wake watakua na ujukuu kabisa, maana mchina mpaka awe mzee sana basi ni above 80 yrs.
 
Ubinadamu kwanza

Wabibi waliozaliwa nyuma kidogo au baada ya vita kuu ya pili hao

Mpunga upo na serikali inawatunza
 
Mwanamke mmoja huko Shanghai, China Bi Liu amewaachia urithi wa Dola Milioni 2.8 sawa na Tsh Bilioni 7 kwa mbwa na paka wake aliokuwa anaishi nao na kuwatosa watoto wake watatu.

Bi Liu amefanya uamuzi huo wa kuwapa utajiri paka na mbwa wake baada ya watoto wake wa kike kumtelekeza na kugoma kumtembelea wakati anaumwa magonjwa ya kizee ambapo wanyama hao ndio walikuwa wanampa faraja, urafiki na company.

Hata hivyo kutokana na vikwazo vya kisheria nchini China vinavyokataza usia wa moja kwa moja kwa wanyama, urithi huo sasa uko chini ya usimamizi wa kliniki ya mifugo ya eneo hilo.

Nini maoni yako?
Wazazi wasenge hao ...mzazi unatakiwa kufanya vema siku zote kwa watoto wako. Mtoto hata siku moja yeye siyo chanzo cha chuki ndani ya familia bali mzazindiyo chanzo hata watoto kuchukiana wao kwa wao chanzo ni mzazi
 
Back
Top Bottom