Mbwa na paka warithishwa Tsh billion 7, ni baada ya watoto wake kutomtembelea

SAWA TU.ila angewaachia watoto yatima au maskini kwa mkataba wa kulea hao wanyama angebarikiwa sana au angeuza na kuwapa maskin angepata rehema kubwa kwa MUNGU
Una uhakika angepata rehema?? Wivu huo kwa mifugo
 
Kawakomesha kweri kweri [emoji1]

Ova
Kawakomesha wakati alishawapa cha kwao wakasepa zao, hivi kuna mzazi alieenda leba kulia na ile mikasi inayoongeza njia, mwanae akamuomba Samaki akampa nyoka? We elewa hio ya Mbwa na Paka ni bonus tu Ila media imeshindwa kuwasilisha vizuri watoto washachukua share yao
 
Basi nitaendelea kusubiri siku nafasi ikiwepo usinisahau naiihitaji
Usijali, ngoja ninote jila lako... Basi rudisha Ile mkuu me niweke hiiπŸ˜‰πŸ™ˆπŸ™ˆ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…