Mbwa wanaponatana wakijamiiana tatizo huwa kwa jike au kwa dume?

Mbwa wanaponatana wakijamiiana tatizo huwa kwa jike au kwa dume?

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,219
Reaction score
4,608
IMG-20230502-WA0000.jpg


Ningependa kujua mechanism inayosababisha wanatane. Asante
 
Dume linapomwaga mbegu za kiume huwa hazitoki kwa haraka katika kitundu cha mkojo.(mfano wewe binadam ukiona bao linakuja ukaminya kichwa ili shahawa zisitoke but kwa mbwa hazibi na kusababisha kichwa cha uume kuvimba na kuwa kama bulb au biringanya.ila muda ukienda zile shahawa zinaanza kutoka matone matone kisha wanatengana)
 
Dume linapomwaga mbegu za kiume huwa hazitoki kwa haraka katika kitundu cha mkojo.(mfano wewe binadam ukiona bao linakuja ukaminya kichwa ili shahawa zisitoke but kwa mbwa hazibi na kusababisha kichwa cha uume kuvimba na kuwa kama bulb au biringanya.ila muda ukienda zile shahawa zinaanza kutoka matone matone kisha wanatengana)
Is this scientific point of view au mawazo yako tu? Jamaa ale vitu vya nduguye Dre?
 
Dah.... sijui ingekuwaje na sisi tungekuwa kama mbwa, baada ya mdinyo mnapata uhondo wa super glue siku4 nzima.

Boss akikupigia simu, oya mbona sikuoni ofisini, unamjibu boss tumenasana huku na wife, tangu siku ile ya Ijumaa hadi leo jumanne imegoma kutoka.
 
Dah.... sijui ingekuwaje na sisi tungekuwa kama mbwa, baada ya mdinyo mnapata uhondo wa super glue siku4 nzima.

Boss akikupigia simu, oya mbona sikuoni ofisini, unamjibu boss tumenasana huku na wife, tangu siku ile ya Ijumaa hadi leo jumanne imegoma kutoka.
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Dah.... sijui ingekuwaje na sisi tungekuwa kama mbwa, baada ya mdinyo mnapata uhondo wa super glue siku4 nzima.

Boss akikupigia simu, oya mbona sikuoni ofisini, unamjibu boss tumenasana huku na wife, tangu siku ile ya Ijumaa hadi leo jumanne imegoma kutoka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
 
Dah.... sijui ingekuwaje na sisi tungekuwa kama mbwa, baada ya mdinyo mnapata uhondo wa super glue siku4 nzima.

Boss akikupigia simu, oya mbona sikuoni ofisini, unamjibu boss tumenasana huku na wife, tangu siku ile ya Ijumaa hadi leo jumanne imegoma kutoka.

Unamwambia boss “baculum” imevimbia kwa ndani [emoji23][emoji23][emoji23]
 
View attachment 2606767

Ningependa kujua mechanism inayosababisha wanatane. Asante
Nimewahi ambiwa uume wa mbwa dume Huwa una kirungu mbele ukiingia kwa jike unakuwa umeweka lock kwa ndani na Ili utoke ni mpaka dume amalize shida yake na unywee ndio unatoka tofauti na hapo unanata huko huko sasa sijui ni kweli?
 
Back
Top Bottom