mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Kocha alieifundisha timu ya Tanzania Prisons kwa mechi 7 tu kwa msimu wa ligi wa 2014-2015 Mbwana Makata amechaguliwa kama kocha bora, akiwabwaga makocha wa yanga na simba Hans van Pluijm na Goran Kopunovic.
Shabani Kado amechaguliwa kipa bora wa msimu.
Simon Msuva amechaguliwa kama mchezaji bora wa msimu akiwabwaga akina Mrisho Ngassa na Mohammed Hussein "Tshabalala"
Shabani Kado amechaguliwa kipa bora wa msimu.
Simon Msuva amechaguliwa kama mchezaji bora wa msimu akiwabwaga akina Mrisho Ngassa na Mohammed Hussein "Tshabalala"