Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacheni mioyo yenu mibovu.....dogo lazima apige u turn arudi uingereza......Waliodanganya kwenda EPL sababu ya sifa tu eti anacheza EPL.Aisee lina Shaffih sio watu wazuri. Mwaka 2022 anarudi Simba.
yes kwenye video games waTz wengi tu wanafika hadi world cup.Hebu muachage na upumbavu kuna mtanzania yeyete mwanamichezo alie mfikia hapo alipo mpaka sasa?
A goo ....down si ndio!!!?Mwiba mchungu kwa wachawi na wanga wote wasiopenda maendeleo ya mzalendo mwenzetu...
Go samatta.
Go samatta,,don't mind those nonsense witches
Ha ha haaaayes kwenye video games waTz wengi tu wanafika hadi world cup.
Nyie ndy wanga wenyewe,,,A goo ....down si ndio!!!?
Kwisha habari yake
Acha kuishi kwa kukariri,Umesha angalia alivyokuwa vizuri alipokuwa na Genk,kosa alilofanya ni kwendaA.Vila,Vila ni timu kilaza sana ni hivyo tu ipo EPL,lakini angepata timu kama Arsenal wakati anatoka Genk ungemshangaa,sasa unaweza kukuta huko alikoenda anaweza akawa ni hatari mpaka ukashangaa.Mchezo wa Samatta ili afanye vizuri ni lazima kuwe na washambuliaji kama wawili au watatu lakini kwa kumtegemea yeye mwenye atafute na kufunga kwake inakuwa ngumu...Kocha wa Aston Villa kalalamika jamaa haoneshi kitu mazoezin, huku nako akileta ufadha, yatakuwa yaleyale, waarabu siyo watu wa mchezomchezo, na safari hii atajipalilia njia ya kwenda marekan au India.
Subiri utaona. Mpira sio UDR wa binadamu kuwa utafanya hata ukiwa hata na ukiwa na 32 yrs old unafanya operation hospital ile ile .Samatta hatarudi simba kabisa asilani abadan
Umri umeenda kwa Samatta.Kumbukeni Mohammad salah aliuzwa na Mourinho akiwa Chelsea kwend Roma akimdharau kuwa hana kiwango angalia sasa anavyotisha
Acha roho mbaya,abari yake imeshaje sasa wakati amejaribu.waliokwasha habari zao ni wakina ngasa waliopata nafasi wakazipiga teke.Kwisha habari yake
Ligi ndogo hiyoNyie ndy wanga wenyewe,,,
Kwani kucheza uturuki ndy kushuka Kiwango?