Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Aliojiunga nao walimaliza nafasi ya 7 sasa sijui unazungumzia mashindano yap ya ulaya...Safi sana, hongera kwake na sasa tutamuona kwenye mashindano makubwa ya Europe..keep it up!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliojiunga nao walimaliza nafasi ya 7 sasa sijui unazungumzia mashindano yap ya ulaya...Safi sana, hongera kwake na sasa tutamuona kwenye mashindano makubwa ya Europe..keep it up!
Iko Ulaya ila inaongoza kuwa na waislamu wengi kuliko nchi yoyote ile barani humoUturuki ni Ulaya pia
Uturuki sio waarabu
Turkish Superlig inaoneshwa ESPN africa. Cha msingi tumpe sapoti kijana wetu. Ametuletea hishma kubwa sisi watz kwenye medani ya soka la ushindani.So nasisi mashabiki tunaenda uturuki da!
Naomba acheze na galatasary mechi ijayo
Nakwambia Watz ni watu wa ajabu kwelikweli ndo maana sikushangaa humu JF, kuona watu wanashangilia Kwa Fatuma Karume kuondolewa toka Kampuni ya Mawakili ya Imma Advocates !!Yani kunamijitu kabisa inasema kwisha habar yake hivi watanzania mnamioyo ya Aina gani Kwanza kabla hujamponda mwenzio jitazame wewe hapo ulipo kwa nafasi yako unastahili uwepo hapo ndio mtazame na mwenzio binafsi hiyo club aliyo kwenda ni club kubwa kuliko vila kinacho wabeba waingereza ni kua na ligi Bora tu hongera Samatta
Ni kweli kabisa mkuu....akifanya vizuri... anarudi Epl.,...akaze buti tu.Nimesikia ni mkopo wa mwaka mmoja. Sijui taarifa hii inaukweli kiasi gani
Unajua tatizo kubwa la wanamichezo wetu na wanamuziki kinachowaponza ni unafki na uvyama , unapokuwa mwanamziki au mwanamichezo inatakiwa mambo ya siasa uweke pembeni kidogo. Ila uyu Samata moja kwa moja anaparticles za CCM, ndo Mana watu wanashangilia anguko lake. .Hata Mimi nasema Kwisha habari yake huko kwenye league ndogo. Tena iyo timu ilikuwa na performance Mbovu msimu uliopita.Yani kunamijitu kabisa inasema kwisha habar yake hivi watanzania mnamioyo ya Aina gani Kwanza kabla hujamponda mwenzio jitazame wewe hapo ulipo kwa nafasi yako unastahili uwepo hapo ndio mtazame na mwenzio binafsi hiyo club aliyo kwenda ni club kubwa kuliko vila kinacho wabeba waingereza ni kua na ligi Bora tu hongera Samatta
Juhudi za awamu ya tano zimefeli hapoYani kunamijitu kabisa inasema kwisha habar yake hivi watanzania mnamioyo ya Aina gani Kwanza kabla hujamponda mwenzio jitazame wewe hapo ulipo kwa nafasi yako unastahili uwepo hapo ndio mtazame na mwenzio binafsi hiyo club aliyo kwenda ni club kubwa kuliko vila kinacho wabeba waingereza ni kua na ligi Bora tu hongera Samatta
Kaenda kwa mkopo mzee that means ni mchezaji wa villa badoUle 'mnyororo wa thamani' unaendelea kwa Genk, Mazembe na Simba?
Waarabu tena? Waturuki na Waarabu wapi na wapiKocha wa Aston Villa kalalamika jamaa haoneshi kitu mazoezin, huku nako akileta ufadha, yatakuwa yaleyale, waarabu siyo watu wa mchezomchezo, na safari hii atajipalilia njia ya kwenda marekan au India.
Manyoko kabisa wee arsenal tumekukosea nini?.Kashindwa hata kufika Arsenal wazee wa shamba la bibi FC
Mikia fc kwa jazba hamjambo. Ndio maana jogoo la jiji hua tunawapanda dailyManyoko kabisa wee arsenal tumekukosea nini?.
Unaiona arsenal ndogo huna hata aibu.
I'm the gunners forever
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ligi ndogo lakini still anacheza ulaya.bado ana nafasi ya kuonekana ueropa league..Ligi ndogo hiyo
Ni ligi ndogo lakini still anacheza ulaya.bado ana nafasi ya kuonekana ueropa league..Ligi ndogo hiyo
ronaldo ana miaka mingapi? ibrahimovich ana miaka mingapi?Umri umeenda kwa Samatta.