Mbwana Samatta avunja rekodi kedekede

16-02-2019[emoji777]
16-02-2020[emoji818]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu ni kama toy tu empty CD. Ukiliwahi ukalichomeka itikadi zako mwenyewe tu unazojua, utaliendesha kama roboti.
 

Maadili


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Kikwete ni shabiki wa NewCastle United, na sio Tottenham kama unavyosema. Kuna kipindi alienda UK na wakati huo PM wa UK ni Tony Blair, alimpa hadi Jersey ya Newcastle United,yenye jina la Kikwete@FaizaFoxy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo (yupo) aliye/waliokwisha cheza ligi zingine za Ulaya, hata yeye mwenyewe kishacheza ligi nyingine Ulaya.

Hapa amevunja rekodi na ndiyo kaweka hiyo rekodi mpya. Huwa sikisii.
Acha ubishi bibi. Samatta rekodi hajavunja bali ameweka.
 
Mbona analopwa pesa ya kawaida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…