samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
mhhh haya bana vipaji vingi vikubwaWaislam tuna vipaji sana Allah mkubwa
kwa hiyo walipo waislamu ndipo ulipoKabadili Tu. Hata Mimi kuna wakati nilikuwa shabiki wa Arsenal lakini nikahamia kuishabikia Liverpool kwa ajili ya Mohamed Salah na sasa pia naishabikia Aston Villa kwamahili ya Mbwana Samatta.
Upo hapo ulipo.
Na hayo ni kwa ajili ya Waislam wenzangu. Kumbuka hilo.
Asilimia 99 ya post zako lazima ziwe za kidiniSasa wewe uandike nini ikiwa wote ntawaandika mimi?
Nimeona hamumwandiki Mbwana Samatta, Muislam mwenzangu, hizi rekodi muhimu anazovunja ndiyo maana nikamwandika.
Unaona vibaya?
Irrelevant and off the target.Waislam tuna vipaji sana Allah mkubwa
Mwislamu wa kwanza kutoka Tanzania kucheza uingerezaMa Shaa Allah.
Kijana wetu amevunja rekodi zifatazo mpaka sasa.
1) Mtanzania wa kwanza kucheza Premier League ya Uingereza.
2) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League.
3) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League kwenye mechi ya kwanza.
4) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la kichwa la kwanza la Aston Villa toka msimuu huu uanze.
5) Mchezaji wa kwanza kupanda thamani ndani ya Premier League msimu huu ndani ya mechi mbili tu.
Ongezea...
Samatta anatarajiwa kucheza tena tarehe 16-02-2019 wakati timu yake itapopambana na Tottenham (timu ya Uingereza anayoshabikia Kikwete).
Tumuombee dua njema kijana wetu, anatupeperushia bendera yetu ya Tanzania vizuri kabisa huko Uingereza.
Allah amuondolee na amuepushe na hassad zote. Amiiin.
View attachment 1354340
Samatta hajanunuliwa kuokoa Jahazi amenunuliwa kuhakikisha ile sehemu ya nne katika mchezo wa mpira wa miguu inafanya kazi yake effectively!Samatta amenunuliwa na Aston Villa kuokoa jahazi. Kumbuka hilo.
Tunamuombea kazi iliyompeleka iwe ya mafanikio kwake. Amiiin.
Ma Shaa Allah.
Kijana wetu amevunja rekodi zifatazo mpaka sasa.
1) Mtanzania wa kwanza kucheza Premier League ya Uingereza.
2) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League.
3) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League kwenye mechi ya kwanza.
4) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la kichwa la kwanza la Aston Villa toka msimuu huu uanze.
5) Mchezaji wa kwanza kupanda thamani ndani ya Premier League msimu huu ndani ya mechi mbili tu.
Ongezea...
Samatta anatarajiwa kucheza tena tarehe 16-02-2019 wakati timu yake itapopambana na Tottenham (timu ya Uingereza anayoshabikia Kikwete).
Tumuombee dua njema kijana wetu, anatupeperushia bendera yetu ya Tanzania vizuri kabisa huko Uingereza.
Allah amuondolee na amuepushe na hassad zote. Amiiin.
View attachment 1354340
Hata kama watashuka.
Mbona analopwa pesa ya kawaida sana
We kwani unfikiri point ya mleta mada ilikuwa ni nini? au we ni mgeni hapa jamvini?
Ni baada ya kodi hapo maana waingeleza kwa kodi hawajambo hasa kwa Non English citizensMkuu kwa wiki anachukua zaidi ya milioni 100 unasema hela ndogo na kwa mwaka anchukua zaidi ya bilioni 5 unasema ya kawaida kibongo bongo?
Kwa hela anayolipw samatta akicheza angalau misimu 2 ana uwezo akarudi bongo akavaa msuli akatumia pesa bila kufanya kazi ana akaishi vyema mapaka anakufa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga, utamuharibia, udini peleka msikitini tuachie mchezo wetu, ndo burudani yetu hii sisi, sasa unapoingiza haya udini wenu mtatuchafulia mchezo wetu pendwa. Kaka pembeni dada plz,Sasa wewe uandike nini ikiwa wote ntawaandika mimi?
Nimeona hamumwandiki Mbwana Samatta, Muislam mwenzangu, hizi rekodi muhimu anazovunja ndiyo maana nikamwandika.
Unaona vibaya?
HongeraMa Shaa Allah.
Kijana wetu amevunja rekodi zifatazo mpaka sasa.
1) Mtanzania wa kwanza kucheza Premier League ya Uingereza.
2) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League.
3) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League kwenye mechi ya kwanza.
4) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la kichwa la kwanza la Aston Villa toka msimuu huu uanze.
5) Mchezaji wa kwanza kupanda thamani ndani ya Premier League msimu huu ndani ya mechi mbili tu.
Ongezea...
Samatta anatarajiwa kucheza tena tarehe 16-02-2019 wakati timu yake itapopambana na Tottenham (timu ya Uingereza anayoshabikia Kikwete).
Tumuombee dua njema kijana wetu, anatupeperushia bendera yetu ya Tanzania vizuri kabisa huko Uingereza.
Allah amuondolee na amuepushe na hassad zote. Amiiin.
View attachment 1354340
mwenye akili timamu huwa anachukia watu kugawanywa kwa misingi ya dini,ila wajinga wapo
Mdomo ni wako kusema ni haki yako lakini uongo si mwema - kumbuka hilo.Hongera
Na wewe umevunja rekodi kedekede
Mtanzania wa Kwanza kukimbia nchi na kujitanabahisha kama mzalendo, mtanzania wa Kwanza ajuza kutapeli vitoto humu
Mtanzania wa Kwanza kupenda haki wakati u mbaguzi wa dini