Mbwana Samatta avunja rekodi kedekede

Mbwana Samatta avunja rekodi kedekede

Kabadili Tu. Hata Mimi kuna wakati nilikuwa shabiki wa Arsenal lakini nikahamia kuishabikia Liverpool kwa ajili ya Mohamed Salah na sasa pia naishabikia Aston Villa kwamahili ya Mbwana Samatta.

Upo hapo ulipo.

Na hayo ni kwa ajili ya Waislam wenzangu. Kumbuka hilo.
kwa hiyo walipo waislamu ndipo ulipo
 
Sasa wewe uandike nini ikiwa wote ntawaandika mimi?

Nimeona hamumwandiki Mbwana Samatta, Muislam mwenzangu, hizi rekodi muhimu anazovunja ndiyo maana nikamwandika.

Unaona vibaya?
Asilimia 99 ya post zako lazima ziwe za kidini
 
Mnaweza kumuona ktk hizo mechi 12 tu zilizosalia kama hatapata majeraha lkn msimu ujao huenda msimuone tena EPL kwani kuna uwezekano mkubwa wakacheza Championship.

Watanzania wanaiona issue ya Samatta kama very extraordinary kwani the country is not a known footballing country kuweza kupata mchezaji wa kuchezea ligi maarufu duniani kama EPL.
 
Ma Shaa Allah.

Kijana wetu amevunja rekodi zifatazo mpaka sasa.

1) Mtanzania wa kwanza kucheza Premier League ya Uingereza.

2) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League.

3) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League kwenye mechi ya kwanza.

4) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la kichwa la kwanza la Aston Villa toka msimuu huu uanze.

5) Mchezaji wa kwanza kupanda thamani ndani ya Premier League msimu huu ndani ya mechi mbili tu.

Ongezea...

Samatta anatarajiwa kucheza tena tarehe 16-02-2019 wakati timu yake itapopambana na Tottenham (timu ya Uingereza anayoshabikia Kikwete).

Tumuombee dua njema kijana wetu, anatupeperushia bendera yetu ya Tanzania vizuri kabisa huko Uingereza.

Allah amuondolee na amuepushe na hassad zote. Amiiin.

View attachment 1354340
Mwislamu wa kwanza kutoka Tanzania kucheza uingereza
 
Samatta amenunuliwa na Aston Villa kuokoa jahazi. Kumbuka hilo.

Tunamuombea kazi iliyompeleka iwe ya mafanikio kwake. Amiiin.
Samatta hajanunuliwa kuokoa Jahazi amenunuliwa kuhakikisha ile sehemu ya nne katika mchezo wa mpira wa miguu inafanya kazi yake effectively!

Timu yao ina defense mbovu sana hivyo yeye atafunga and opponents watafunga mara mbili ya Aston
 
Ma Shaa Allah.

Kijana wetu amevunja rekodi zifatazo mpaka sasa.

1) Mtanzania wa kwanza kucheza Premier League ya Uingereza.

2) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League.

3) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League kwenye mechi ya kwanza.

4) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la kichwa la kwanza la Aston Villa toka msimuu huu uanze.

5) Mchezaji wa kwanza kupanda thamani ndani ya Premier League msimu huu ndani ya mechi mbili tu.

Ongezea...

Samatta anatarajiwa kucheza tena tarehe 16-02-2019 wakati timu yake itapopambana na Tottenham (timu ya Uingereza anayoshabikia Kikwete).

Tumuombee dua njema kijana wetu, anatupeperushia bendera yetu ya Tanzania vizuri kabisa huko Uingereza.

Allah amuondolee na amuepushe na hassad zote. Amiiin.

View attachment 1354340

Kikwete ni Newcastle
 
Mkuu kwa wiki anachukua zaidi ya milioni 100 unasema hela ndogo na kwa mwaka anchukua zaidi ya bilioni 5 unasema ya kawaida kibongo bongo?

Kwa hela anayolipw samatta akicheza angalau misimu 2 ana uwezo akarudi bongo akavaa msuli akatumia pesa bila kufanya kazi ana akaishi vyema mapaka anakufa.
Mbona analopwa pesa ya kawaida sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa wiki anachukua zaidi ya milioni 100 unasema hela ndogo na kwa mwaka anchukua zaidi ya bilioni 5 unasema ya kawaida kibongo bongo?

Kwa hela anayolipw samatta akicheza angalau misimu 2 ana uwezo akarudi bongo akavaa msuli akatumia pesa bila kufanya kazi ana akaishi vyema mapaka anakufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni baada ya kodi hapo maana waingeleza kwa kodi hawajambo hasa kwa Non English citizens
 
Sasa wewe uandike nini ikiwa wote ntawaandika mimi?

Nimeona hamumwandiki Mbwana Samatta, Muislam mwenzangu, hizi rekodi muhimu anazovunja ndiyo maana nikamwandika.

Unaona vibaya?
Acha ujinga, utamuharibia, udini peleka msikitini tuachie mchezo wetu, ndo burudani yetu hii sisi, sasa unapoingiza haya udini wenu mtatuchafulia mchezo wetu pendwa. Kaka pembeni dada plz,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ma Shaa Allah.

Kijana wetu amevunja rekodi zifatazo mpaka sasa.

1) Mtanzania wa kwanza kucheza Premier League ya Uingereza.

2) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League.

3) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League kwenye mechi ya kwanza.

4) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la kichwa la kwanza la Aston Villa toka msimuu huu uanze.

5) Mchezaji wa kwanza kupanda thamani ndani ya Premier League msimu huu ndani ya mechi mbili tu.

Ongezea...

Samatta anatarajiwa kucheza tena tarehe 16-02-2019 wakati timu yake itapopambana na Tottenham (timu ya Uingereza anayoshabikia Kikwete).

Tumuombee dua njema kijana wetu, anatupeperushia bendera yetu ya Tanzania vizuri kabisa huko Uingereza.

Allah amuondolee na amuepushe na hassad zote. Amiiin.

View attachment 1354340
Hongera

Na wewe umevunja rekodi kedekede

Mtanzania wa Kwanza kukimbia nchi na kujitanabahisha kama mzalendo, mtanzania wa Kwanza ajuza kutapeli vitoto humu

Mtanzania wa Kwanza kupenda haki wakati u mbaguzi wa dini
 
Hongera

Na wewe umevunja rekodi kedekede

Mtanzania wa Kwanza kukimbia nchi na kujitanabahisha kama mzalendo, mtanzania wa Kwanza ajuza kutapeli vitoto humu

Mtanzania wa Kwanza kupenda haki wakati u mbaguzi wa dini
Mdomo ni wako kusema ni haki yako lakini uongo si mwema - kumbuka hilo.
 
Back
Top Bottom