Mbwana Samatta: Kwa hili umefeli, na hamtafanya chochote huko AFCON

Mbwana Samatta: Kwa hili umefeli, na hamtafanya chochote huko AFCON

Jamani mwenye kikosi kamili kilichoenda anidondoshee hapa.
 
Hata serikali ya awamu ya tano imemsaidia kuwa mfungaji bora wa Ubelgij!!!

Katoto kameanza siasa haka!
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Mleta mada hukumsikia vyema, alimalizia kwa kusema kuwa Taifa stars wanakwenda kupambana kwa manufaa ya Chadema na Mbowe.
 
Wakitoka huko Misri na mabao matatu (3) ya kufunga nitaacha hii ID ya Viatu vya Samaki na kuja na mwingine mpya.

Wakitoka huko Misri na mabao chini ya 6 ya kufungwa pia nitaachana na hii ID.
Serious?
 
Usimlaumu sana mkuu maana anachezea GENK...!!
Wadau wa JF,

Habari ndugu zangu, kwanza kabisa nawapongeza taifa kwa kwenda kushiriki afcon 2019 nchini Misri japo kimazabe.

Leo nimemsikia Samatta akisema wanaenda kucheza michuano hiyo kwa lengo la kuleta heshima kwa Tanzania na Awamu ya tano ya uongozi huu.

Kama ni kwa ajili ya Tanzania, nampa big up. Lakini kaniboa kuitaja wanaenda kucheza kwa ajili ya serikali ya awamu hii ya tano.

Hivi Samatta hajajifunza kuzungumza kwenye media au na yeye anaupata ukichaa, maana pembeni yake alikuwepo Juliana Shonza.

Huyu dada ni Naibu Waziri Wa Michezo sijui, au ndiyo naye ameamua kumuambia azungumze hivyo?

Basi Taifa Stars itarudi mapema sana nyumbani na haitafika mbali kwa sababu kapteni wao kashaanza kuwagawa Watanzania.
 
Kila kitu ni siasa. Soka wanaingiza siasa. Kwenye kuhitaji utaalamu saisa inaingia. Yaani ni siasa, siasa, siasa.........................................................siasaaaaaaaaaaaaaahhhhhhh
In kinyambe voice
 
Samatta amechemka. Na kwa laana hii Taifa Stars watapigwa wachakae
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Wadau wa JF,

Habari ndugu zangu, kwanza kabisa nawapongeza taifa kwa kwenda kushiriki afcon 2019 nchini Misri japo kimazabe.

Leo nimemsikia Samatta akisema wanaenda kucheza michuano hiyo kwa lengo la kuleta heshima kwa Tanzania na Awamu ya tano ya uongozi huu.

Kama ni kwa ajili ya Tanzania, nampa big up. Lakini kaniboa kuitaja wanaenda kucheza kwa ajili ya serikali ya awamu hii ya tano.

Hivi Samatta hajajifunza kuzungumza kwenye media au na yeye anaupata ukichaa, maana pembeni yake alikuwepo Juliana Shonza.

Huyu dada ni Naibu Waziri Wa Michezo sijui, au ndiyo naye ameamua kumuambia azungumze hivyo?

Basi Taifa Stars itarudi mapema sana nyumbani na haitafika mbali kwa sababu kapteni wao kashaanza kuwagawa Watanzania.
Dah....kumbe Kuna watanzania bado wanaishi awamu ya nne....dah[emoji41]
 
Samatta yuko sawa tu, kila awamu na bahati yake

Nakumbuka awamu ya nne Team ilikua na full support ila tuliambulia vipigo vya ajabu ajabu tu
 
Wakitoka huko Misri na mabao matatu (3) ya kufunga nitaacha hii ID ya Viatu vya Samaki na kuja na mwingine mpya.

Wakitoka huko Misri na mabao chini ya 6 ya kufungwa pia nitaachana na hii ID.
Litunze hili agano lako Mkuu ili yakitokea utimize Kama ulivyoahidi.
 
Wadau wa JF,

Habari ndugu zangu, kwanza kabisa nawapongeza taifa kwa kwenda kushiriki afcon 2019 nchini Misri japo kimazabe.

Leo nimemsikia Samatta akisema wanaenda kucheza michuano hiyo kwa lengo la kuleta heshima kwa Tanzania na Awamu ya tano ya uongozi huu.

Kama ni kwa ajili ya Tanzania, nampa big up. Lakini kaniboa kuitaja wanaenda kucheza kwa ajili ya serikali ya awamu hii ya tano.

Hivi Samatta hajajifunza kuzungumza kwenye media au na yeye anaupata ukichaa, maana pembeni yake alikuwepo Juliana Shonza.

Huyu dada ni Naibu Waziri Wa Michezo sijui, au ndiyo naye ameamua kumuambia azungumze hivyo?

Basi Taifa Stars itarudi mapema sana nyumbani na haitafika mbali kwa sababu kapteni wao kashaanza kuwagawa Watanzania.


!
!
Ni Kipigo Kwenda Mbele. Wakimaliza Mechi Ya Mwisho Kesho Ndege Wanarudi Nyumbani.
 
Hata Senegal na Algeria wanamuhofia huyo Samatta kwa taarifa yako.Watakuwa wanamkaba kuliko maelez😵gopa mtu aliyeongoza kufunga magoli kwenye ligi ya Ubeligiji (si ligi ndogo kivile ni kwa sababu wengi hatuifuatilii)
Mane wa Senegal ndo akabwe na Yondani,Salah akabwe na Yondani na kina nyoni,kazi ipo
 
Wafuatilie vijana utaona maajabu
Mimi sitafuti pressure. Niliacha kushabikia Taifa Stars kuanzia siku ile tulipopanga matokeo na Uganda tukafuzu. Kambi tunaweka uswahilini wenzetu wako UAE. Tesekeni tu nyie mimi No . Minimum kufungwa 3-0 .
 
Back
Top Bottom