Mbwana Samatta ni mchezaji wa kawaida sana anakuzwa mno

mlete tarifa hapa naona unachuki na wanaofanikiwa ok sio mbaya nikawaida ya wakosaji
 
Mkuu yaaani kama vile ulkwa kwenye kichwa changu,huyo Mudathir na Mao sijawahi kuwaelewa kabisa kabisa.
Hauhitaji kuwa mtu wa mpira saana kujua hayo mkuu.

Mie hao watu wawili siwaelewi kabisa.
 
Anatakiwa apangwe na inside left Pierre Liquid na inside right Haji M.
 
Watu wa hivi wanakupa ban..Sadio Mane alianza kucheza timu gani EPL? ??Marseille wanamuhitaji ndio timu aliyoibukia Zidane na Drogba
 
Mkuu una udhibitisho?


Samatta alipitwa magoli mechi za playoffs[emoji23][emoji23]
Mechi za play- off Ni kwa team zinazorudi kwenye Ligi husika.
Mfungaji anayetambulika Ni yule wa mzunguko mzima wa Ligi ( natural league and not play offs.)
 
Mkuu dunia gan hyo inayomtambua ,infact Nina rafiki yangu wa afrika kusini ananmbia hawamjui Samata ni nani
uyo rafiki yako je kama ni muangalia X tutajuaje?
 
himidi mao hafai ata kucheza lipuli
 
Kuna mtu Leo kwenye kijiwe nimekuta anabisha kua samata Ni zaidi ya wanyama nilimcheki nikaondoka
 

hakua mfungaji bora alipitwaa mwshoni mwa msimu
 
Huyu dogo kiwango chake ni kawaida mno, mtazamo wangu hata bocco ni bora zaidi yake
 
Yupo kijiji gani huko Africa ya kusini ambako hakuna hata tv
Kuna watu hawamjui Lionel Messi. Anashangaa rafiki yake wa SA.
SA so mwisho was dunia.
Labda anaishi South Western Township( SOWETO).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…