mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Hapo kwa Benteke ni mfano hai kabisa, akipinga basi hajui mpiraNaona mleta Uzi umeamua kutupima mahaba yetu kwa Samata anyway baada ya kusoma nyuzi kadhaa nimepoa nimeona kwanza nihoji dhamira yako mwandishi.
Striker unataka afunge kwa kuremba kivipi? Lukaku kuna kipi anachofunga kwa kuremba,Je unadhani kufunga ni rahisi kama unafunga kamba ya viatu? Hao wanaocheza ulaya unasema wanafunga eti kwa uzuri,unamjua Benteke we mpira wote anacheza ulaya mpaka match ya Jana nadhani ni game ya 17 hajafunga goal lolote. Usiwe na motive za kudemoralize wenzio kwa husuda zako kazi ya kucheza ligi kubwa kama uingereza sio kazi rahisi so kwa samata huko alipo ni sehemu sahihi sema anatakiwa ajaribu kujitahidi zaidi japo anaweza akajitahidi na asipate nafasi ya kuja kucheza EPL maama EPL sio lele mama Leo hii tunaona wachezaji tena wazawa wa England kama kina Calton Cole,Jermain Jena's,Penant pamoja nakuzaliwa mpira ulikoanzia wakashindwa kutamba hapo EPL wakajaishia kucheza India premier league.
Hivyo nakushauri usimlete mifano kijana wetu kwa kumkatisha tamaa eti kwa kisingizio cha huvutiwi na ufungaji wake. Samatta sio Bergkamp,Messi wala Ronaldo De Lima ambao walikuwa wakali wa sexy goals.
Wacha azidi kucheza kadri Mungu atakavyombariki kwani kipimo cha kucheza kwa kiwango sio kucheza EPL yuko wapi Saido Berahino? Jana nilikuwa naangalia Betis Vs Sevila ndio nikajua why William Cavalho ameshindwa pata timu England so usimnange Samata hata alipo panamfaa zaidi aongeze juhudi kidogo apate team zenye Mshahara mkubwa ili aje astaafu vizuri na maisha yake na wanaomtegemea yawe ya raha. Hiyo Bar ya Samatta aje EPL ndio uridhike ni mfano wa kusadikika Handicap ziko nyingi sana kwa samatta ukianzia Historia yetu kimpira so uwezo wake ndio umedefy hata hicho kigezo ndiomaana mpaka tunamuona Europa angekuwa mchovu usingemuona kikosini wazungu hawaangalii bahati.
Nahisi kama unawafanyia promo shafii na miradi ayoumecomplicate sana kaka....Kama umeweza kukiri ya kwamba wapo washambuliaji kama akina Lukaku na Benteke ambao hawafungi magoli mara kwa mara hasa Benteke aliyekaa mechi 17. Je unadhani ni kwanini wachezaji hao uliowataja hapo juu hawafungi mara kwa mara au wanafunga magoli ya kawaida? Tunarudi kwenye sababu ileile ya ukawaida na ubutu wa mchezaji kwani hata hao akina Lukaku na Benteke kinachoonekana nao pia wana bahati ya kuwepo hapo walipo kwani wapo wachezaji wazuri pengine wa kumudu nafasi zao ila hawajapewa nafasi...so, ukiona mchezaji ana kiwango cha kawaida na bado anaendelea kuaminiwa ujue huyo ana bahati kubwa sana........kuhusu Samatta Usilete ubishi maana nina uhakika huangaliagi Mechi za Genk, zaidi ya kusikia matokeo ya vijiweni na viclip kwenye page za akina Shafii Dauda na Millard Ayo!
Unamaanisha Samatta kafika GENK kwa bahati mbaya... (daah!!Samatta ana bidii sana na yupo committed ila upande wa kipaji ni wa kawaida sana, yan huwez hata kumfananisha na striker wa mtibwa Kelvin Kongwe Sabato "KIDUKU"
Sent using Jamii Forums mobile app
Asipokimbia mtoa post.. basi atahamisha magoli.Mleta Uzi ambae unajipambanua kama mfuatiliaji wa match za Samatta me nakuja kukujibu na vitu live maana hiyo Genk wote tunaiangalia na kama kweli unaifuatilia Genk utakuwa ulikuwa unamfahamu Niko Kalleris ambae yeye ndio alikuwa anagombea namba na Samatta amehama msimu huu kaenda PAOK anako kaa benchi,mchezaji mwingine alikuwa akicheza cheza kipindi Samatta yuko bench ni Puzuelo mspain huyu na hao wote nawengine wengi Samatta kawakalisha katika list ya wachezaji waliowahi kucheza Genk na kufunga magoli mengi.Samatta anamagoli mengi kuliko Kevin De Bruyne na Benteke kwa kipindi walichocheza Genk ifuatayo ni jedwali la vielelezo ili ujue why wazungu wanaimba Samagoal.
View attachment 855948View attachment 855951View attachment 855949View attachment 855950
Good mzee ndio ungevaa juzi tukuone hata kinesi, bandari, mabatini na sehemu kama hizo tuone... Af ukumbuke ktk strikers kuna ball players like suarez Af kuna target men like diego costa, legend van nesterlooy na wengine kibao Hujui mpiratatizo la mbongo haishiwi maneno ya Kipuuzi...yaani wakiambiwa ukweli hawataki wanataka wasifiwe tu...hii mbegu ya kisifiwa imepandikizwa na CCM na imekiathiri kizazi chote cha TZ ukiwemo wewe
Anafikiri ni mpira wa makaratasi.. BEKI FUNDI, KIPA FUNDI hadi Mshangiliaji.Mwandishi
Hujafahamu maana ya neno "exceptional "
Ukilijua hili unaweza futa makala yako.
Hivi unamlazimisha Samatta acheze kama Eden Hazard?
Cr7 na Messi na Dyaballa?
Unachosahau strikers wengi sana wana wanapaswa kuwa na jicho na goli, ambayo ni skills.
To score goals
Unahitaji skills!
Kuwa serious kidogo_
Sent using Jamii Forums mobile app
Umempa mfano poa sana..Io paragraph yako ya mwisho inakufunga tena. Kazi ya striker ni kufunga no matter kafungia shingo, kichwa, au mkonoo. .
Refer to chicharito
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ukisema Kichuya... ila wanapaota alipofika MBWANAkwa ball dancing kazidiwa hata na kijana Farid Mussa
Endelea kushabikia ndondo mzee...Modern Football huijui!!Good mzee ndio ungevaa juzi tukuone hata kinesi, bandari, mabatini na sehemu kama hizo tuone... Af ukumbuke ktk strikers kuna ball players like suarez Af kuna target men like diego costa, legend van nesterlooy na wengine kibao Hujui mpira
Sent using Jamii Forums mobile app