Mbwembwe gani ulianza nazo mwaka??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama nakuona ukianza kusali unaamka asubuhi kusema Amen!
 
Bebe inamaana bia ni tamu kuliko mimi!![emoji134][emoji134]
Hapana bebee!

Aisee siwezi nikakulinganisha na vitu vya kijinga kabisa bebee

Vipi huwa unaonja kidogo bebee?
 
Hapo sawaa bebee

Maana Bia inashuka vizuri saana ukiwa na bebee pembeni
Oooh kumbe!! Sasa mbona huwa huniambii twende wote? Au huwa unakuwa na nani?[emoji134](wivu sinaaa.....[emoji443][emoji441])
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama nakuona ukianza kusali unaamka asubuhi kusema Amen!
Hahaa yaani kweli tupu unasali huku unasinzia

Be Humble is free of charge [emoji873]
 
Oooh kumbe!! Sasa mbona huwa huniambii twende wote? Au huwa unakuwa na nani?[emoji134](wivu sinaaa.....[emoji443][emoji441])
Hahaha!

Bebee huwa nipo peke yangu,naonaga tu kwa wenzangu jinsi bia zinavyoshuka wakiwa na mabebee zao!

Na mimi nataka kufurahi pia kama wenzangu bebee!
 
Hahaha!

Bebee huwa nipo peke yangu,naonaga tu kwa wenzangu jinsi bia zinavyoshuka wakiwa na mabebee zao!

Na mimi nataka kufurahi pia kama wenzangu bebee!
Mmmmmh!!![emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…