Mbwembwe gani ulianza nazo mwaka??

Hivo ulivyo vianza ni vizuri kwa afya yako ulazimishe mwili uzoee iwe kawaida yako, mm nishauzoesha mwili wangu kunywa maji mengi, mbogamboga yaan hvyo don't miss nashazoea na matunda japo si mara mara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudi ujachelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilipanga huu mwaka ukianza tu nianze na ibada bahati mbaya hata kuanza sijaanza daah..

ila huu mwaka hautaisha wallah...Allah anisimamie katika hilo
 
Mimi nilianza na mbwembwe za kufa mtu kusoma vitabu kila siku kuamka mapema ,kupiga zoezi la kukata tumbo, kufanya meditation, ila cjui nimepotelea wapi maana nachapa ucngizi na mazoezi nimeacha hahah na novel yangu nimeishia katikati hahaha lkn nimegundua aya mambo lazima uwe na self discipline, commitment,passion and sucrifice lasivyo utaona mzigo na kuachia njiani nimegundua kabla hujaanza Fanya kitu hakikisha unakipenda and you enjoy it.....

am better here
 
Nilipanga nisome vitabu kama kumi, Nipo cha kwanza page ya tatu.
Nilipanga niache bia, nimeweza, though nahisi ntaanza kunywa very soon.
Mazoezi, nimeweza.
Nilipanga nisikilize podcast flani flani kama part ya personal development, naona Tetema imetawala kwenye playlist.
Ila kuna mengi tu, nimeweza, I am proud of myself.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…