Finegirlone
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 1,836
- 3,609
Hivo ulivyo vianza ni vizuri kwa afya yako ulazimishe mwili uzoee iwe kawaida yako, mm nishauzoesha mwili wangu kunywa maji mengi, mbogamboga yaan hvyo don't miss nashazoea na matunda japo si mara maraMwaka ulivyoanza watu huwa wanajitahidi kubadili tabia ama kujaribu kufanya mambo mapya kwa mbwembwe za kila aina lakini kadri mda unavyoenda anajikuta kasharudi kwenye hali yake ya kawaida (default settings)
Mimi nilianza na jogging kwa mbwembwe zote,nilijitahidi niwe nakunywa siku za wkend tu,nilianza kusoma vitabu pia lakini kadri mda unavyoenda naona nisharudi kwenye settings zangu za zamani
Wewe ulianza na mbwembwe gani?
Hahaha nimekumbuka pia nilianza na mbwembwe za kujifanya nakula mboga mboga na matunda ila naona nisharudi kwenye hali ya kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app