elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
BMW X6 released in 2008 went on sale in 2009, kibongo bongo still bado model mpya maana majority magari watu wanayomiliki ya way back.
Sioni tatizo as long as ni ela yake hajamuomba mtu wanamuziki wengi wanafanya hivyo kama akina chameleone wa uganda, bebe cool n.k.
Hapa tz kuna watu wengine nishaona wanazo mfano kuna gari niliziona mwaka jana plate number zake zilikuwa Richard 1 na nyingine Richard 2 sijui zilikuwa gari za richard Mziray au lah.
Sioni tatizo as long as ni ela yake hajamuomba mtu wanamuziki wengi wanafanya hivyo kama akina chameleone wa uganda, bebe cool n.k.
Hapa tz kuna watu wengine nishaona wanazo mfano kuna gari niliziona mwaka jana plate number zake zilikuwa Richard 1 na nyingine Richard 2 sijui zilikuwa gari za richard Mziray au lah.