blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,278
- 7,966
Tume huru ya wizi ya ccm2024 na 2025 usemi ni ule ule
Tulishinda uchaguzi lakini tumeibiwa kura
Hakika ujinga wa uzeeni lazima utakufa nao tu ...pole sanaAM
MAKONDA NI ASSET KUBWA SANA KWA SIASA ZA BONGO WE ANGALIA TU SASAHIVI WAPINZANI WAMEPIGWA GANZI WAMEKOSA MANENO YA KUONGEA NA UCHAGUZI NI MWAKANI UNATEGEMEA WAPINZANI WATAWADANGANYA NINI TENA WANANCHI UONGO WAO UMEFIKA MWISHO CHINI YA MAKONDA
Makonda ana majukumu manne katika kipindi kati ya 2024 - 25 ambayo ni,Mgema akisifiwa............
Bashite aka Makonda aka kadhaa nyingine
Huyu bwana ni mzee wa mbwembwe na kiki.Mbwembwe na kiki zake sasa zimeanza kumcost SAMIA Suluhu,Gharama ya Mbwembwe za Makonda tunaanza kuziona kwenye uchaguzi wa 2024 serikali za mitaa.
Hakuna ambaye hafahamu sifa kuu ya Paul Makonda ambayo ni kutumia vibaya madaraka kila mara anapopewa.Mara nyingi unaposikia anafanya matukio fulani ya tofauti basi ujue kabisa kwamba kuna tukio lingine ambalo linaendelea chini ya kapeti
Sasa sitaki kusema mengi ila Najua kwenye korido za Lumumba,korido za Magogoni na pia katika korido za ofisi nyingine nyeti Faili tayari limechukuliwa na msomaji sasa yuko ukurasa wa nne
Swali ambao wanajiuliza ni JE,huyu bwana ni Asset ama ni Liability?Na Je Kamba yake nani ambaye ameishika na anayeiongoza.
Najua humu jukwaani kuna wanaojua zaidi kuliko wengine so tujibe hapa kwa comment fupi fupi.Je Nani ambaye anammudu Makonda ndani ama nje ya CCM?Je Makonda ni Asset au ni Liability ndani ya CCM na Mwisho je atumbuliwe Faster au awe Decommissioned kabisa?
Hawezi tumbuliwa kamwe kwa sababu ni silaha ya Kikwete.Mgema akisifiwa............
Bashite aka Makonda aka kadhaa nyingine
Huyu bwana ni mzee wa mbwembwe na kiki.Mbwembwe na kiki zake sasa zimeanza kumcost SAMIA Suluhu,Gharama ya Mbwembwe za Makonda tunaanza kuziona kwenye uchaguzi wa 2024 serikali za mitaa.
Hakuna ambaye hafahamu sifa kuu ya Paul Makonda ambayo ni kutumia vibaya madaraka kila mara anapopewa.Mara nyingi unaposikia anafanya matukio fulani ya tofauti basi ujue kabisa kwamba kuna tukio lingine ambalo linaendelea chini ya kapeti
Sasa sitaki kusema mengi ila Najua kwenye korido za Lumumba,korido za Magogoni na pia katika korido za ofisi nyingine nyeti Faili tayari limechukuliwa na msomaji sasa yuko ukurasa wa nne
Swali ambao wanajiuliza ni JE,huyu bwana ni Asset ama ni Liability?Na Je Kamba yake nani ambaye ameishika na anayeiongoza.
Najua humu jukwaani kuna wanaojua zaidi kuliko wengine so tujibe hapa kwa comment fupi fupi.Je Nani ambaye anammudu Makonda ndani ama nje ya CCM?Je Makonda ni Asset au ni Liability ndani ya CCM na Mwisho je atumbuliwe Faster au awe Decommissioned kabisa?
Muuaji aliemtandika Lisu marisasi ya kumuua anaachiwa huru na kupewa vyeo, hilo ndio linalotuuma, hawamwanzishii kesi sijui wanataka tuchukue maamuzi yetu kama tunavyowafanyia vibaka mitaani,!kama CCM wenyewe wamemuamini wakampa madaraka, fedha na jukwaa la kufanyia siasa. wewe CHADEMA inakuuma nini?
siraha ya = ushauri waHawezi tumbuliwa kamwe kwa sababu ni silaha ya Kikwete.
Wapinzani wapigwe ganzi na huyo muhalifu?!AM
MAKONDA NI ASSET KUBWA SANA KWA SIASA ZA BONGO WE ANGALIA TU SASAHIVI WAPINZANI WAMEPIGWA GANZI WAMEKOSA MANENO YA KUONGEA NA UCHAGUZI NI MWAKANI UNATEGEMEA WAPINZANI WATAWADANGANYA NINI TENA WANANCHI UONGO WAO UMEFIKA MWISHO CHINI YA MAKONDA
nashangaa watu hawalioni hili..inachefua balaaCCM inafanya watu ni wajinga sana, yaani kiongozi anatumia umaskini wa watu kuwalagai Yaani anashuka kwenye v8 na kupanda ngamia au boda boda, guta, au lori ili afanane nao,? anajidai ni mtu wa kawaida sana yaani ni ujinga mtupu kwasababu baada ya hizo movies zake atarudi kwenye misafara yake amabayo imejaa v8 za kutosha.
Ni sahihi maana ccm ni chama Cha wahalifu, hivyo kumpa muhalifu nafasi ya kukisafisha chama Chao si ajabu.kama CCM wenyewe wamemuamini wakampa madaraka, fedha na jukwaa la kufanyia siasa. wewe CHADEMA inakuuma nini?
We ndio hujaelewa!Mgema akisifiwa............
Bashite aka Makonda aka kadhaa nyingine
Huyu bwana ni mzee wa mbwembwe na kiki.Mbwembwe na kiki zake sasa zimeanza kumcost SAMIA Suluhu,Gharama ya Mbwembwe za Makonda tunaanza kuziona kwenye uchaguzi wa 2024 serikali za mitaa.
Hakuna ambaye hafahamu sifa kuu ya Paul Makonda ambayo ni kutumia vibaya madaraka kila mara anapopewa.Mara nyingi unaposikia anafanya matukio fulani ya tofauti basi ujue kabisa kwamba kuna tukio lingine ambalo linaendelea chini ya kapeti
Sasa sitaki kusema mengi ila Najua kwenye korido za Lumumba,korido za Magogoni na pia katika korido za ofisi nyingine nyeti Faili tayari limechukuliwa na msomaji sasa yuko ukurasa wa nne
Swali ambao wanajiuliza ni JE,huyu bwana ni Asset ama ni Liability?Na Je Kamba yake nani ambaye ameishika na anayeiongoza.
Najua humu jukwaani kuna wanaojua zaidi kuliko wengine so tujibe hapa kwa comment fupi fupi.Je Nani ambaye anammudu Makonda ndani ama nje ya CCM?Je Makonda ni Asset au ni Liability ndani ya CCM na Mwisho je atumbuliwe Faster au awe Decommissioned kabisa?
Wacha nahau wewe kuwa muwazi tuelewe siye vilaza wapiga kura.Issue sio unachokijua au ambacho tunajua?Kile ambacho hatukijui au tunafikiri tuajua kumbe hatujui ndio issue
Kifupi ulimi wa mama ukitaka kuattack mtu MWANZA anatanua mdomo.We ndio hujaelewa!
Makonda ni Naibu Rais anaempigania Rais kamili !!
Ina maana uchaguzi ujao utasimamiwa na makonda akimpigania Rais!
Huelewi nini sasa!!?ushindi wa kishindo Tena wa kuchora mezani kabla ya uchaguzi wenyewe!
Ngoja Tusubiri tuone !
Mbona Kigogo alishaeleza kila kitu kuhusa Bashite na Sa100; hata ushahidi wa picha upo😎Mgema akisifiwa............
Bashite aka Makonda aka kadhaa nyingine
Huyu bwana ni mzee wa mbwembwe na kiki.Mbwembwe na kiki zake sasa zimeanza kumcost SAMIA Suluhu,Gharama ya Mbwembwe za Makonda tunaanza kuziona kwenye uchaguzi wa 2024 serikali za mitaa.
Hakuna ambaye hafahamu sifa kuu ya Paul Makonda ambayo ni kutumia vibaya madaraka kila mara anapopewa.Mara nyingi unaposikia anafanya matukio fulani ya tofauti basi ujue kabisa kwamba kuna tukio lingine ambalo linaendelea chini ya kapeti
Sasa sitaki kusema mengi ila Najua kwenye korido za Lumumba,korido za Magogoni na pia katika korido za ofisi nyingine nyeti Faili tayari limechukuliwa na msomaji sasa yuko ukurasa wa nne
Swali ambao wanajiuliza ni JE,huyu bwana ni Asset ama ni Liability?Na Je Kamba yake nani ambaye ameishika na anayeiongoza.
Najua humu jukwaani kuna wanaojua zaidi kuliko wengine so tujibe hapa kwa comment fupi fupi.Je Nani ambaye anammudu Makonda ndani ama nje ya CCM?Je Makonda ni Asset au ni Liability ndani ya CCM na Mwisho je atumbuliwe Faster au awe Decommissioned kabisa?