tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
- Thread starter
-
- #21
[/QUOTE]Tuone na vyenu pia;
siyo kuisakama sukari ya akina mama namna hiyo, alaaa!![
QUOTE=tindikalikali;7233990]tumechagua kuwa mashabiki..au ulitaka na mimi nitoke kimuziki? Ukosoaji upo kila mahali duniani...hamuwezi kuuzuia!!
All Comments (74)
Sign in now to post a comment!
neema masawe
neema masawe 19 minutes ago
jamanii my number one wangu!! hongera sana kaka leo nimekiri we mkali
·
Rosemary Bussa
Rosemary Bussa 20 minutes ago
man u kill it!!!
·
Rami Swaq
Rami Swaq 27 minutes ago
umeua kaka ni nouma
·
Faith Wambua
Faith Wambua 27 minutes ago
Big Up Diamond
·
Hans Kijja
Hans Kijja 1 hour ago
awesome!
·
leon taylor
leon taylor 2 hours ago
it was 30,000$ dollars
· in reply to Nathan Kavatha (Show the comment)
Issa Issah
Issa Issah 2 hours ago
This is by Far young man; I am proud of you"!!RESPECT"!!
·
Steven Joe
Steven Joe 2 hours ago
Very fantastic video. Bigup kijana
·
Forreal Sossy
Forreal Sossy 2 hours ago
Good Job
·
Anna Steven
Anna Steven 2 hours ago
So switttt i love it
·
Tasha Andry
Tasha Andry 3 hours ago
Watuache tulale..WCB
·
Comment removed
Author withheld
·
Nathan Kavatha
Nathan Kavatha 3 hours ago
how much did this video cost........mmmmmmmmh
·
Bashiru Nandonde
Bashiru Nandonde 4 hours ago
Unazid kupaa kijana
·
leon taylor
leon taylor 4 hours ago
nice  video.. much love from nairobi..
·
Jayforgiveness
Jayforgiveness 5 hours ago
Nice work Diamond..
·
Comment removed
Author withheld
·
Ritha George
Ritha George 5 hours ago
itachezwa 106&park ya bet lol...
·
gasparmboha
gasparmboha 5 hours ago
Hapa even we,non fans of you tumesema shikamoo
·
Ritha George
Ritha George 5 hours ago
much love from nairobi
·
Huo ni upenzi sio sifa ya wimbo kuna watu Diamond akijamba wanaandika jamani shuzi langu!, fb ni ya wajinga kama ww.
ona hili nalo alokuambia hizo ni coments za fb nani? youtube hiyo mav wewe
Kusema ukweli, video ni nzuri sana, ubora wake nimeukubali hongera sana kwa kutengeneza video kali kama hiyo.
Kusema ukweli, Audio yaani wimbo wenyewe hamna kitu, huwezi kulinganiisha na nyimbo zilizopita. Msema ukweli mpenzi wa Mungu. Nyimbo hamna kitu pale.
Kusema ukweli, sio kila anayekukosoa ni 'hater'
Nawatakia siku njema.
bonge la VIDEO..
AUDIO mbaya sana..
AUDIO BORA KAWA SASA BONGO NI:-
1.I LOVE YOU-CASSIM
2.KAMA HUWEZI-RAMA DEE
3.QUICK ROCKA-MY BABY
wabongo bhana.! Stop hating..
Dogo anajitahidi sana, tunapaswa tuwapongeze hawa vijana wanaojitahidi kutengeneza video bora kama hizi....
From my heart hongera sana AY..
hongera sana Platinumz..
Onyesheni njia as always
umenena mkuu..my baby mpaka video ni kali licha ya Ngwea kukosekana!!
hata video ni ya kawaida sana,naona kapigwa 50m ya bure,audio haina mvuto,verse ni za kwd sana,hata mm baada ya kuidownload kupitia hulkshare nikaidilit baada ya kuiskiliza sikuwa na hamu ya kurudia kuisikiliza.Ujipange tena No.1 haiwez kukaa meza moja na Tupogo ya Dimpoz
hata video ni ya kawaida sana,naona kapigwa 50m ya bure,audio haina mvuto,verse ni za kwd sana,hata mm baada ya kuidownload kupitia hulkshare nikaidilit baada ya kuiskiliza sikuwa na hamu ya kurudia kuisikiliza.Ujipange tena No.1 haiwez kukaa meza moja na Tupogo ya Dimpoz
Kwa muda sasa nimefatilia nyimbo za huyu msanii...nachelea kusema huwa namkubali sana katika uhandishi na vionjo vyake!!
Leo nimebahatika kuona video na nimepata audio yake...kiufupi video ni nzuri kulinganisha na video zake za mwanzo, ila hii audio kachemka siyo siri...huwezi kabisa ukaiweka kwenye mzani na "lala salama" au "ukimuona" achilia mbali "kesho"...
Nilichofanya baada ya kuisikiliza ni kuifutilia mbali, na kama ataendelea hivi basi hana safari ndefu kimuziki!!