Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
wabongo bhana.! Stop hating..
Dogo anajitahidi sana, tunapaswa tuwapongeze hawa vijana wanaojitahidi kutengeneza video bora kama hizi....
From my heart hongera sana AY..
hongera sana Platinumz..
Onyesheni njia as always
Acheni kutoa sifa za kijinga...penye uzuri tunapongeza penye ubaya tunasema...AUDIO MBAAYAAAA.....na siku zote usitegemee kusifiwa kubali kukosolewa ili uzidi kuboresha..na mwenyewe alijua ndo maana kakimbilia kutoa video kabla ya audio....
Mbona mawazo...moyo wangu...na zingine tulizikubali sana...huu kaharibu akabali..mgema akisifiwa tembo ulitia maji...I guess kashalewa sifa za watu km@heaven on desert na@bold ambao ht ukijinyea wanakusifia
Nachokiona mimi ni wimbo mmoja ambao umepata views nyingi you tube kwa muda mfupi kuliko nyimbo zote east africa,na ni wimbo ambao soon utakuwa unapigwa saana kwenye kila harus unayohudhuria,mwisho wa majungu haya tufanye yetu sasa dogo anafanya yake.oooh
huyu mtoto nashauri wanaomchukia waanze kumpenda!ana miaka mingi sana ya kusumbua hapa mjini...anachonifurahisha zaidi anaiogopa sana njaa kwahiyo wanaotegemea dogo aanguke waanze kumcheka watasubiri sana ni heri muda wanaotumia kumchukia wautumie kusaka maendeleo yao binafsi kwani naseeb ni diamond kweli
NISAIDIE KUWAAMBIA.WATANZANIA WANACHUKI SANA,nimetizama youtube saiv siku ya 3 tu video ina viewers 79000 hapo ni kwenye acount yake pekee ..haijawai tokea kwa east africa...ukiangalia hata tofauti ya like na dislikes haters n wachache,500 kwa 32??????
Nachokiona mimi ni wimbo mmoja ambao umepata views nyingi you tube kwa muda mfupi kuliko nyimbo zote east africa,na ni wimbo ambao soon utakuwa unapigwa saana kwenye kila harus unayohudhuria,mwisho wa majungu haya tufanye yetu sasa dogo anafanya yake.oooh
Usiwe mvivu kufikiri wewe, tambua kuwa kupata views nyingi sio kama wimbo ni mzuri, watu wame view ili wickize cz walikuwa hawajapata chance ya kuichek. So kabla huja comment fikiri kwanza na sio unakurupuka kama umetoka ucngizini..
Usiwe mvivu kufikiri wewe, tambua kuwa kupata views nyingi sio kama wimbo ni mzuri, watu wame view ili wickize cz walikuwa hawajapata chance ya kuichek. So kabla huja comment fikiri kwanza na sio unakurupuka kama umetoka ucngizini..
Bwana Sudy mlela,sikukurupuka bwana,niliangalia na likes na comments pia,likes ni nyingi kuliko dislikes na comment za kupenda wimbo ni nyingi zaid ,japo ni ukweli kuwa kuna comments chache zinazoponda audio,na pia dislikes chache,bt kutembelea kwangu you tube kote cjawah kuona video yenye viewer wengi kama vile na zaid afu ikose dislike hata 1.
tell them
The only issue na kikwazo kwa huo wimbo ni habar kuwa umeibwa kwa msanii Dyana coz kama ni kweli it will be very bad kwa career ya Dogo .i cant imagne investing abt 50M Kwa project ambayo inaingia kimeo kama hivyo. Bt otherwise ngoma ni kali na inaweza fika mbali
umesoma na coments za hao walioitizama video ?watu maskin huwa wana wivu sana kwa waliowazd
wee mwenyewe umasikini ndo unakufanya ukeshe humu kumtetea boss wako...upambe una gharama sana!!
mkuu unatumia nguvu nyingi sana kuonyesha chuki!diamond huu ni wakati wake
The only issue na kikwazo kwa huo wimbo ni habar kuwa umeibwa kwa msanii Dyana coz kama ni kweli it will be very bad kwa career ya Dogo .i cant imagne investing abt 50M Kwa project ambayo inaingia kimeo kama hivyo. Bt otherwise ngoma ni kali na inaweza fika mbali
kwa sababu unatoka kwenye ukoo wa kimasikini basi unahisi kila mtu ni masikini.na umasikini wako wa fikra unakufanya uone kila akosoaye ni mwivu.kwani lazima kila mtu apende kila kitu.umesoma na coments za hao walioitizama video ?watu maskin huwa wana wivu sana kwa waliowazd