Na hii style yake ya ngololo kila nikianagalia naiona azonto tu ya wa naija au mimacho yangu ovyo?Kusema ukweli, video ni nzuri sana, ubora wake nimeukubali hongera sana kwa kutengeneza video kali kama hiyo.
Kusema ukweli, Audio yaani wimbo wenyewe hamna kitu, huwezi kulinganiisha na nyimbo zilizopita. Msema ukweli mpenzi wa Mungu. Nyimbo hamna kitu pale.
Kusema ukweli, sio kila anayekukosoa ni 'hater'
Nawatakia siku njema.
Na hii style yake ya ngololo kila nikianagalia naiona azonto tu ya wa naija au mimacho yangu ovyo?
NISAIDIE KUWAAMBIA.WATANZANIA WANACHUKI SANA,nimetizama youtube saiv siku ya 3 tu video ina viewers 79000 hapo ni kwenye acount yake pekee ..haijawai tokea kwa east africa...ukiangalia hata tofauti ya like na dislikes haters n wachache,500 kwa 32??????
tumechagua kuwa mashabiki..au ulitaka na mimi nitoke kimuziki? Ukosoaji upo kila mahali duniani...hamuwezi kuuzuia!!
-------- inatakiwa aachwe na upumbavu wake, apo mko na pumbu zenu tu hamna ata kumi mnakaa ku hate kifalafala tu, kijana yuko juu na anazidi kumake headlines na ataendelea kua hivyo, mabwege mnakaa na vijikundi vyenu ata muandike nn kama ndio inabaki kuwa ndio tu mtabaki vichwa chini mambwiga nyie
Baba desi mbona unampa elimu ya bure huyu diamond die hard? hakuelewi hata kidogo hajui maana ya wadau wa kweli wa muziki,hajui kuwa mijasho yote inayomtoka mwanamuziki ni kumfanya mpenzi wa muziki afurahi ,nasisitiza "mpenzi wa muziki si wa mwanamuziki"...Mkuu Heaven, Unisamehe.
Kwa nini Unapenda sana kutumia neno Chuki?
Kwa nini mtu akiwa na mawazo tofauti na wewe katika issue fulani ni Chuki?
Umekulia katika Mazingira ya Chuki chuki??
Kwani wewe Ukisema 'No 1' ni Nzuri na Mwingine akasema si Nzuri tatizo ni Nini?
Kwani nini kila anayesema wimbo sio mzuri ni lazima iwe ni Chuki dhidi ya Diamond?
Kwa nini Usiheshimu tu Sikio lake kwamba halikuusikia kuwa Wimbo ni Mzuri na ana HAKI ya kusema hivyo??
Kama wewe/Diamond mnafurahi watu wanaposema 'Mawazo' ni Bonge la Wimbo, kwa nini uteme Cheche pale baadhi ya wapenzi wenu hao hao wanaposenma 'No 1' sio Mzuri kihiivyo??
Ina maana Mashabiki wenu wana HAKI ya kusifu tu nyimbo zenu lakini hawana haki ya kuchagua kuzipenda ama la??
Unapotumia kigezo cha walioingia Youtube la Ushahidi wa jinsi wimbo huo Ulivyobamba, vipi kuhusu wale malaki ya wapenzi wa Diamond ambao hawajui ya Youtube ni kitu gani???
Ni jambo jema kumtetea Diamond pale inapobidi lakini ni jambo jema zaidi kuacha kugombana na wale wapenzi wanaomkosoa pale inapobidi!
Lakini pengine jambo kubwa Zaidi: Kama Una mashabiki 500 ambao wame-like 'No 1' kwenye Youtube na ukachukulia kama huo ni Ushahidi wa Wimbo huo kupendwa, kwa nini unahangaika na kutoka jasho kupigishana kelele na hawa wachache unaowaona ni haters?
Je huoni kwamba inaleta picha kuwa there must be some Truth in what they are saying after all, Mkuu??:
Leave Them Be.
The Beauty of a Song is in the EARS of the Listener, Mkuu! Dont You think So?
π
...Mkuu Heaven, Unisamehe.
Kwa nini Unapenda sana kutumia neno Chuki?
Kwa nini mtu akiwa na mawazo tofauti na wewe katika issue fulani ni Chuki?
Umekulia katika Mazingira ya Chuki chuki??
Kwani wewe Ukisema 'No 1' ni Nzuri na Mwingine akasema si Nzuri tatizo ni Nini?
Kwani nini kila anayesema wimbo sio mzuri ni lazima iwe ni Chuki dhidi ya Diamond?
Kwa nini Usiheshimu tu Sikio lake kwamba halikuusikia kuwa Wimbo ni Mzuri na ana HAKI ya kusema hivyo??
Kama wewe/Diamond mnafurahi watu wanaposema 'Mawazo' ni Bonge la Wimbo, kwa nini uteme Cheche pale baadhi ya wapenzi wenu hao hao wanaposenma 'No 1' sio Mzuri kihiivyo??
Ina maana Mashabiki wenu wana HAKI ya kusifu tu nyimbo zenu lakini hawana haki ya kuchagua kuzipenda ama la??
Unapotumia kigezo cha walioingia Youtube la Ushahidi wa jinsi wimbo huo Ulivyobamba, vipi kuhusu wale malaki ya wapenzi wa Diamond ambao hawajui ya Youtube ni kitu gani???
Ni jambo jema kumtetea Diamond pale inapobidi lakini ni jambo jema zaidi kuacha kugombana na wale wapenzi wanaomkosoa pale inapobidi!
Lakini pengine jambo kubwa Zaidi: Kama Una mashabiki 500 ambao wame-like 'No 1' kwenye Youtube na ukachukulia kama huo ni Ushahidi wa Wimbo huo kupendwa, kwa nini unahangaika na kutoka jasho kupigishana kelele na hawa wachache unaowaona ni haters?
Je huoni kwamba inaleta picha kuwa there must be some Truth in what they are saying after all, Mkuu??:
Leave Them Be.
The Beauty of a Song is in the EARS of the Listener, Mkuu! Dont You think So?
π
Hatutofika kwa majungu!!!!!!!!
...Mkuu Heaven, Unisamehe.
Kwa nini Unapenda sana kutumia neno Chuki?
Kwa nini mtu akiwa na mawazo tofauti na wewe katika issue fulani ni Chuki?
Umekulia katika Mazingira ya Chuki chuki??
Kwani wewe Ukisema 'No 1' ni Nzuri na Mwingine akasema si Nzuri tatizo ni Nini?
Kwani nini kila anayesema wimbo sio mzuri ni lazima iwe ni Chuki dhidi ya Diamond?
Kwa nini Usiheshimu tu Sikio lake kwamba halikuusikia kuwa Wimbo ni Mzuri na ana HAKI ya kusema hivyo??
Kama wewe/Diamond mnafurahi watu wanaposema 'Mawazo' ni Bonge la Wimbo, kwa nini uteme Cheche pale baadhi ya wapenzi wenu hao hao wanaposenma 'No 1' sio Mzuri kihiivyo??
Ina maana Mashabiki wenu wana HAKI ya kusifu tu nyimbo zenu lakini hawana haki ya kuchagua kuzipenda ama la??
Unapotumia kigezo cha walioingia Youtube la Ushahidi wa jinsi wimbo huo Ulivyobamba, vipi kuhusu wale malaki ya wapenzi wa Diamond ambao hawajui ya Youtube ni kitu gani???
Ni jambo jema kumtetea Diamond pale inapobidi lakini ni jambo jema zaidi kuacha kugombana na wale wapenzi wanaomkosoa pale inapobidi!
Lakini pengine jambo kubwa Zaidi: Kama Una mashabiki 500 ambao wame-like 'No 1' kwenye Youtube na ukachukulia kama huo ni Ushahidi wa Wimbo huo kupendwa, kwa nini unahangaika na kutoka jasho kupigishana kelele na hawa wachache unaowaona ni haters?
Je huoni kwamba inaleta picha kuwa there must be some Truth in what they are saying after all, Mkuu??:
Leave Them Be.
The Beauty of a Song is in the EARS of the Listener, Mkuu! Dont You think So?
π
Hatutofika kwa majungu!!!!!!!!