teh...teh....nmecheka mpaka bac
hao wasanii wazushi mwenzao asitoe nyimbo na wao ndo hapo hapo wanataka kupata umaarufu wapuuzi tu hawana issue wala nini mbona wao hzo nyimbo zao haziwatoi wajipange
sawa nimekuelewa mkuumbona unaenda chaka mkuu? Umesoma topic na ukaelewa kweli?
Kwa muda sasa nimefatilia nyimbo za huyu msanii...nachelea kusema huwa namkubali sana katika uhandishi na vionjo vyake!!
Leo nimebahatika kuona video na nimepata audio yake...kiufupi video ni nzuri kulinganisha na video zake za mwanzo, ila hii audio kachemka siyo siri...huwezi kabisa ukaiweka kwenye mzani na "lala salama" au "ukimuona" achilia mbali "kesho"...
Nilichofanya baada ya kuisikiliza ni kuifutilia mbali, na kama ataendelea hivi basi hana safari ndefu kimuziki!!
Kwanza kuna filamu ya kighana wameact wakina van vicker inaitwa passion of love kama sijakosea kuna sehemu van vicker alikuwa anamuimbia demu wake, dogo hajiongezi kabisa.
Kwanza kuna filamu ya kighana wameact wakina van vicker inaitwa passion of love kama sijakosea kuna sehemu van vicker alikuwa anamuimbia demu wake, dogo hajiongezi kabisa.
Lets be realistic guys, unless Diamond sings in his vernaculars. .. kuna maneno gani ambayo akiimba hamtasema ka copy mahali? Kubalini dogo ana hit sababu ya struggle zake na sio sababu ya ku copy. Na kama ni ku copy hebu na ajitokeze yeyote a copy hata ni wimbo mzima wa msanii yeyote then tuone kama uta hit. Diamond ana connections nyingi za mkwanja, think of Coka Kola
Vodacom
Etc