Mbwembwe zote za Diamond na Number one ...kumbe hakuna kitu!!

Mbwembwe zote za Diamond na Number one ...kumbe hakuna kitu!!

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,129
Kwa muda sasa nimefatilia nyimbo za huyu msanii...nachelea kusema huwa namkubali sana katika uhandishi na vionjo vyake!!

Leo nimebahatika kuona video na nimepata audio yake...kiufupi video ni nzuri kulinganisha na video zake za mwanzo, ila hii audio kachemka siyo siri...huwezi kabisa ukaiweka kwenye mzani na "lala salama" au "ukimuona" achilia mbali "kesho"...

Nilichofanya baada ya kuisikiliza ni kuifutilia mbali, na kama ataendelea hivi basi hana safari ndefu kimuziki!!
 
Kwa muda sasa nimefatilia nyimbo za huyu msanii...nachelea kusema huwa namkubali sana katika uhandishi na vionjo vyake!!

Leo nimebahatika kuona video na nimepata audio yake...kiufupi video ni nzuri kulinganisha na video zake za mwanzo, ila hii audio kachemka siyo siri...huwezi kabisa ukaiweka kwenye mzani na "lala salama" au "ukimuona" achilia mbali "kesho"...

Nilichofanya baada ya kuisikiliza ni kuifutilia mbali, na kama ataendelea hivi basi hana safari ndefu kimuziki!!

Nadhani hii inatokana na wizi wa wimbo wenyewe maana mtaani kuna habari kuwa number one ilikua ya Dyna ila jamaa kafanya ujanjaujanja akawahi kutoa. Za mwizi zinahesabika.
 
Bora na nyinyi kama mmeliona,hii track haitagusa hata chati za juu,labda acheze na pesa na madj wetu lakini haijabamba hata kidogo,
 
All Comments (74)
Sign in now to post a comment!

neema masawe

neema masawe 19 minutes ago

jamanii my number one wangu!! hongera sana kaka leo nimekiri we mkali
·
Rosemary Bussa

Rosemary Bussa 20 minutes ago

man u kill it!!!
·
Rami Swaq

Rami Swaq 27 minutes ago

umeua kaka ni nouma
·
Faith Wambua

Faith Wambua 27 minutes ago

Big Up Diamond
·
Hans Kijja

Hans Kijja 1 hour ago

awesome!
·
leon taylor

leon taylor 2 hours ago

it was 30,000$ dollars
· in reply to Nathan Kavatha (Show the comment)
Issa Issah

Issa Issah 2 hours ago

This is by Far young man; I am proud of you"!!RESPECT"!!
·
Steven Joe

Steven Joe 2 hours ago

Very fantastic video. Bigup kijana
·
Forreal Sossy

Forreal Sossy 2 hours ago

Good Job

·
Anna Steven

Anna Steven 2 hours ago

So switttt i love it
·

Tasha Andry

Tasha Andry 3 hours ago

Watuache tulale..WCB
·

Comment removed

Author withheld
·
Nathan Kavatha

Nathan Kavatha 3 hours ago

how much did this video cost........mmmmmmmmh
·
Bashiru Nandonde

Bashiru Nandonde 4 hours ago

Unazid kupaa kijana
·
leon taylor

leon taylor 4 hours ago

nice  video.. much love from nairobi..

·
Jayforgiveness

Jayforgiveness 5 hours ago

Nice work Diamond..
·

Comment removed

Author withheld
·
Ritha George

Ritha George 5 hours ago

itachezwa 106&park ya bet lol...
·
gasparmboha

gasparmboha 5 hours ago

Hapa even we,non fans of you tumesema shikamoo
·
Ritha George

Ritha George 5 hours ago

much love from nairobi
·
 
we mpambe wa diamond acha kujaza server nq upuuzi wako...mwambie boss wako ajipange....

number one haiwezi shindana na hits za sasa kama...

*Bila kukunja goti-MwanaFa
*Kimugina-Linex
*Tupogo-Ommy Dimpoz
*I love u-Kassim
*Kama huwezi-Rama D
 
Kusema ukweli, video ni nzuri sana, ubora wake nimeukubali hongera sana kwa kutengeneza video kali kama hiyo.


Kusema ukweli, Audio yaani wimbo wenyewe hamna kitu, huwezi kulinganiisha na nyimbo zilizopita. Msema ukweli mpenzi wa Mungu. Nyimbo hamna kitu pale.



Kusema ukweli, sio kila anayekukosoa ni 'hater'


Nawatakia siku njema.
 
we mpambe wa diamond acha kujaza server nq upuuzi wako...mwambie boss wako ajipange....

number one haiwezi shindana na hits za sasa kama...

*Bila kukunja goti-MwanaFa
*Kimugina-Linex
*Tupogo-Ommy Dimpoz
*I love u-Kassim
*Kama huwezi-Rama D

wabongo bhana.! Stop hating..
Dogo anajitahidi sana, tunapaswa tuwapongeze hawa vijana wanaojitahidi kutengeneza video bora kama hizi....
From my heart hongera sana AY..
hongera sana Platinumz..
Onyesheni njia as always
 
Bora na nyinyi kama
mmeliona,hii track haitagusa hata chati za juu,labda acheze na pesa na
madj wetu lakini haijabamba hata kidogo,

take it from me..
my number one will rule radio air waves for the rest of the year.!?

HATERS KALENI MBILIMBI
 
Kwa muda sasa nimefatilia nyimbo za huyu msanii...nachelea kusema huwa namkubali sana katika uhandishi na vionjo vyake!!

Leo nimebahatika kuona video na nimepata audio yake...kiufupi video ni nzuri kulinganisha na video zake za mwanzo, ila hii audio kachemka siyo siri...huwezi kabisa ukaiweka kwenye mzani na "lala salama" au "ukimuona" achilia mbali "kesho"...
...Nilichofanya baada ya kuisikiliza ni kuifutilia mbali, na kama ataendelea hivi basi hana safari ndefu kimuziki!!
.
umetumia vigezo ganii kusema amechemka????umesomea mziki??au huwa unapenda midundo tu......anyway napita tu....................
 
take it from me..
my number one will rule radio air waves for the rest of the year.!?

HATERS KALENI MBILIMBI

Hivi unaelewa tafsiri ya haters au unaropoka tu? kuamini hiyo track itabamba redion ni kujitoa akili tu!!
 
.
umetumia vigezo ganii kusema amechemka????umesomea mziki??au huwa unapenda midundo tu......anyway napita tu....................

na bora upite tu...wimbo mkali no mkali tu...huyu dogo kaanza kuishiwa mbinu!!
 
Tuone na vyenu pia;
siyo kuisakama sukari ya akina mama namna hiyo, alaaa!![

QUOTE=tindikalikali;7233990]tumechagua kuwa mashabiki..au ulitaka na mimi nitoke kimuziki? Ukosoaji upo kila mahali duniani...hamuwezi kuuzuia!![/QUOTE]
 
Back
Top Bottom