johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Kwa CCM utabakia tu kwenye jumuiya ukipewa kazi za kutumwatumwa siyo kuongoza wengine.Kwani anaekula nyumbani haruhusiwi kugpmbea? Sheria ya uchaguzi inasemaje?
Mtu unayekula kwa wazazi wako utawaongozaje watu wanaojilisha na kulisha familia zao?!