MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,410
- 8,184
Hivi MC Garab anachaji ngapi kupiga kazi ya harusi?
Anachaji Milioni tatu harusi.
Yaani kuongea masaa manne tu. Kuwaambia kateni keki, tambulisha wazazi,,,,Anachukua zake milioni 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi MC Garab anachaji ngapi kupiga kazi ya harusi?
Nasimama mwenyeweAnachaji Milioni tatu harusi.
Yaani kuongea masaa manne tu. Kuwaambia kateni keki, tambulisha wazazi,,,,Anachukua zake milioni 3
Ukute alionja kidogo kukata aibu 🤣Nyingine ni ushubwada 😂😂 kuna moja niliona, bwana harusi mtarajiwa anacheza, yan kwa kifupi sio furaha, ni aliranduka 🤣🤣
Nikasema ningekuwa mimi ndo bi. harusi, hakii namfinya kidogo ndo atulie
Hatimaye akalewa 🤣 maana alikuwa ni anaruka na sio kuchezaUkute alionja kidogo kukata aibu 🤣
Maxence Melo ndio mjumbe wa bodi ya faragha ya taarifa,alishatoa angalizo kwamba kuna mtu anaweza kushtakiwa na kudaiwa fidia kwa kutoa taarifa zake bila idhiniHii inajitokeza zaidi katika siku za karibuni kutokana na maendeleo makubwa ya mtandao. Unakuta Kuna kipande fulani kinachukuliwa na mc katika video ya shughuli bwana Harusi na Bibi Harusi mnajikuta ghafla mnatrend mtandao iwe Ni kwa kituko au kwa uzuri.
Madhara yake kwa wahusika
Inaweza kusababisha msongo wa mawazo au kukuharibia heshima yako pahaka fulani.
MC kuweni makini na kazi zenu na usirushe maudhui katika kitandazi chako bila idhini ya wahusika.
SureClip inarekodiwa vizuri ila baada ya muda kakipande ka sekunde thelathini kanaenda kuwa kibwagizo huko TikTok na kuingiziwa sauti za vituko. Ukitaka u-rasmi funga harusi yako kwa mkuu wa mkoa period
Nikweli kkMaxence Melo ndio mjumbe wa bodi ya faragha ya taarifa,alishatoa angalizo kwamba kuna mtu anaweza kushtakiwa na kudaiwa fidia kwa kutoa taarifa zake bila idhini
huwezi kuwashitaki bila mkatabaDawa yao ni kuwashtaki
Sahihihuwezi kuwashitaki bila mkataba
cash money ime transfer kienyeji enyeji
hakuna records, hakuna mkatabata, hakuna maelezo
kama milioni 150 ya Mama Samia iliyoibukia makanisani
kama mtu hajaruhusu si vema kabisa
hamis kunywa kidogo utoe aibu si unajua binamu yako anaoa leo🤣🤣🤣🤣Nikitaka kucheka naangalia hii video � kumbe huku ukumbini kuna mambo sana😅😅😅
😅😅😅hamis kunywa kidogo utoe aibu si unajua binamu yako anaoa leo🤣🤣🤣🤣
kwa sababu ulafi sio jambo gumu ni jambo lenye raha sana.
Acha ujingaKwamba simu zinakusanywa ama wanafanyaje kuzuia watu wasirekodi
Yani nikuchangie Laki halafu unikataze nisirekodi utarudisha mchango wangu
NaamClip inarekodiwa vizuri ila baada ya muda kakipande ka sekunde thelathini kanaenda kuwa kibwagizo huko TikTok na kuingiziwa sauti za vituko. Ukitaka u-rasmi funga harusi yako kwa mkuu wa mkoa period