MC Pilipili afungua Kanisa

MC Pilipili afungua Kanisa

Udini,ukabila upo sana kwenye kutoa ajira sekta binafsi na utumishi wa umma,
Mkurugenzi wa taasisi ya umma akiwa Mkristo,muhaya,mchaga,Msukuma,hapo tegemea watu kutoka hiyo dini au kabila kupewa upendeleo.

Nchi hii ajira zinauzwa,Wala sio Swala la kufikirika,tribalism,nepotism,imeenea kila Kona.

Nchi ina makabila zaidi ya 120+,harafu ukute utumishi wa umma na nafasi za wakurugenzi Zimeshikwa na watu kutoka jamii mbili au tatu tu, unakuta asilimia 65 ya utumishi wa umma ni makabila mawili au matatu harafu makabila 118 yameachwa yapambanie asilimia 35tu !!!

Hiyo sio Sawa,tatizo la nchi hii na ccm hawana road map Wala vision,Hilo swala la kuuliza watumishi wa umma dini na kabila zao,sio kwamba wanataka kuboresha au kuleta usawa,hapa wanataka kuondoa wale wengi,waongeze wale waliokuwa wachache,

Wala sio kutafuta suruhisho la kudumu,Cha msingi wangepitia CV za watu kuona walifikaje hapo walipo,na wangeweka uwazi kwenye ajira za serikalini,waweke mfumo unaofanya kazi.
 
Sisi wote tulipewa kibali cha kuzaliwa duniani tumetumwa kufanya kazi kwa sifa na utukufu wa Mungu; yaani sisi sote ni mitume wa Mungu.

Mungu huwa anachagua mtu
"kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu; kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe; hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo" - Waefeso 4:11-13

Na utaratibu wake wa Mungu katika kuwachagua watu hauratibiwi na mtu ndio maana Musa aliitwa na Mungu mwenyewe na kupewa jukumu lakini Daudi alipakwa mafuta/ailtawadhwa na Samueli baada ya Samuel kupokea maagizo toka kwa Mungu.

Hii ya Pilipili kufungua kanisa ili uweze kumtumikia Mungu anajua yeye na Mungu wake na tumwache. Hii ya kufanya uzinduzi Kebbys nayo tumwachie yeye na Mungu wake
 
Back
Top Bottom