Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,789
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi ww amekukera
Nani kwani shosti, pepee?Yaani lile lijanaume ni uchurooo khaaaaa[emoji134][emoji134][emoji134]...... Mwanaume analialia hovyohovyo tu kama amebemendwa, kupenda gani kule
Mkuu nani Huyo mzee baba? Niambie hata PM aise nimjue.Jamaa yuko very emotional dah
Kaniskitisha sana
Emotions zikishika hatamu akili hua mbali..
Never say never.
Yule jamaa, nahisi ana vinasaba vya kike,Hamna cha ku PM ni MC pilipili Amelia kama toto la kike
Wamenibaka lakini kwa mbinde.Hivi mbona JF ni kama hamuoni kinachoendelea kwa MC mwenye chombo yakee....
Hivi ni sahihi mwanaume kumililia mwanamke hadharani kama alivyofanya jamaa...?
Daah Kulia hadharani... nimeshindwà kukubaliana nayo.
Kama kulia nitajiliza faragha, chumbani hukoo tena baada ya kujiliza inafata show ya haja...
Kale ka ticha ka PS kanajifanya ka chini chini eeeh. Sa kama ni hivyo analialia nini wakati ameshaonja tamu tokea miaka hiyo.Kumbe tayari ako na watoto 2 na kila mmoja na mama yake!
Mambo mswanu!
Amelia kisa nn jaman wengine hatutumii instagramHamna cha ku PM ni MC pilipili Amelia kama toto la kike
Mkuu nipo nyuma sana sijaona video ya sanchoka na hata hii ya jamaa anaelia vipi alikua analia sababu gani?Yaani lile lijanaume ni uchurooo khaaaaa[emoji134][emoji134][emoji134]...... Mwanaume analialia hovyohovyo tu kama amebemendwa, kupenda gani kule