Nasema hiviiiii tena naandika vitu kutoka ndani ya Moyo wangu wala sio unafiki wowote
MC PILIPILI ana haki ya kulia (
narudia tena ana haki) acheni nyie haya maisha watu tunapitia mambo mengi sana,watu tumetengwa na wazazi,watu tumetengwa na ndugu,tumetengwa na jamii,tumetengwa na hadi wanyama pori.
inafika wakati mtu unaamua kuingia porini ili uliwe na simba au mnyama yeyote mkali ili tu UFE uliwe upotee katika hii dunia,lakini ajabu unaingia porini unapishana na simba face to face hakugusi,unapishana na Chui face to face hakugusi.
Unalia sana sana unamuuliza Mungu kwanini sasa sifi kama hata hawa wanyama wakali hawanimalizi wananipita kama hawanioni,Mungu
kimya,unafuta machozi unarudi uraiani kuendelea na ratiba zako kwa hali ya kutengwa hivyo hivyo.
From nowhere anatokea
MWANAMKE anakwambia
CONTROLA nakupenda,
CONTROLA nimekuchagua wewe pamoja na yote hayo,nipo tayari kuonekana wa ajabu kukusaidia,nipo tayari kuonekana nisiefaa kukusaidia,nipo tayari kufanya lolote na chochote
CONTROLA nakupenda from deep inside my heart.
Aseee mimi kama
CONTROLA kilio nitakachoangusha hiyo siku hamna wakuweza kuninyamazisha,ntaomba mniache nilie na kweli ntalia,narudia tena ntaliaa😭😭, ntalia sana.Wingi wa machozi yatakayonitoka hiyo siku hakuna mtu yeyote duniani kawahi kulia hivyo.
Acheni MC PILIPILI alie acheni kabisa, nasema acheni jamani maisha haya tunapopita hapaelezeki,maisha haya majaribu tunayopita hayasimuliki,ugumu wake hamna njia nyepesi nitakayoweza wasimulia mkaielewa, halafu anatokea mtu hajulikani hata katokea wapi tena
MWANAMKE pamoja na kujua historia yangu halafu anatamka maneno aliyotamka
mke wa mc pilipili.
Tena sio tu anayatamka kimoyomoyo ila anayatamka wazi na peupe kwenye media Aseee mc pilipili ni nani asitoe chozi😭😭,ninapoandika huu ujumbe nimevaa uhusika wa mc pilipili kanirudisha nyuma sana (nimedondosha machozi) yes nasema hivi muacheni MC PILIPILI hamna anaemjua kuliko yeye ajijuavyo.
Muacheni Muacheni he is a real Gentleman tena nasema he is one among Few of his Type. Pole pilipili,Pole sana.