MC Pilipili amlilia mkewe kwenye kipindi cha Zamaradi | Ni sahihi Mwanaume kumlilia mkeo hadharani?

MC Pilipili amlilia mkewe kwenye kipindi cha Zamaradi | Ni sahihi Mwanaume kumlilia mkeo hadharani?

S
FB_IMG_15752329532141734.jpeg
 
Huo ni udhaifu wa kiwango cha juu sanaView attachment 1278796

Hapa wala haihitajiki nguvu kutambua KICHWA CHA NYUMBA ni kipi. Bidada anajieleza bila tashwishwi jamaa linalia? Huyu jamaa hawajui wanawake aisee atapata taabu sana. Nakumbuka hata siku ya send off jamaa alimwaga michozi kama yote.
Kwa jinsi ninavyowajua wanawake wanavyopenda ku control, huyu jamaa kuna kipindi kitafika ataiona ndoa chungu.
 
Back
Top Bottom