Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Hamna mwanaume mule... anatudhalilisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana usitupie lawama emotion kwenye maswala ya kijingaEmotions zikishika hatamu akili hua mbali. Never say never.
ebu niwekeeni link namimi nikaone huyo mliaji
Nani huyo kwanza mbona mnamficha ficha?Yani yule jamaa utazani ndo anaanza mapenzi leo. Watu kama wale maranyingi ndo wanachapiwaga wake zao.
Mpuuzi yule kumbe mtu mwenyewe ndio huyo,,,,,anamambo ya ajabu sana halafu hajistukiiHamna cha ku PM ni MC pilipili Amelia kama toto la kike
Akinifurahisha nitacheka tena sana na ataenjoy kuona tabasam languKuna kumlilia mtoto ila sio vile
Ile hoho sio pilipiliMc Pilipili Mbuzi au Pilipili kichaa
Mpuuzi sana
Pilipili mbuzi Amelia nini tenaa? isijekua kale kabinti kamemuacha uwii atajinyonga aisee.Mc Pilipili Mbuzi au Pilipili kichaa
Mpuuzi sana
Video hio mah angaliaPilipili mbuzi Amelia nini tenaa? isijekua kale kabinti kamemuacha uwii atajinyonga aisee.
Ukizipata tuambiane😀😀😀Nani tena jamani? Kweli bila connection mjini hupati kitu dah.
Huo ni udhaifu wa kiwango cha juu sanaView attachment 1278796