MC Pilipili amlilia mkewe kwenye kipindi cha Zamaradi | Ni sahihi Mwanaume kumlilia mkeo hadharani?

MC Pilipili amlilia mkewe kwenye kipindi cha Zamaradi | Ni sahihi Mwanaume kumlilia mkeo hadharani?

Jasiri muongoza njia
Hivi mbona JF ni kama hamuoni kinachoendelea kwa MC mwenye chombo yakee.

Hivi ni sahihi Mwanaume kumililia Mwanamke hadharani kama alivyofanya jamaa?

Daah! Kulia hadharani nimeshindwà kukubaliana nayo. Kama kulia, nitajiliza faragha, chumbani hukoo tena baada ya kujiliza inafata show ya haja.

View attachment 1278759
 
Angevuta bangi kwanza ndio aende... Badala ya kulia angecheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnoo kwanza nilijiskia aibu, mimi sitaki mwanaume wa vile jamani doooh
Mbona mnamlazimisha jamani? Kuna siku amewaambia yeye ni mwanaume? Mbona anawaonesheni kwa vitendo na bado mnamsingizia mgogo wa watu
 
N
Ndio mulie kwa ajili ya kuzidiwa na mapenzi Mtani. 😃😃

Niko poa sana Mtani. Kwako je?
Najaribu kutafuta shairi moja la mapenzi nikusomee uone penzi linavyopasua milima na majabali, likawadhalilisha majenerali na majemedari wa vita, wakawa hawajiwezi hajitambui wala hawajichukui kwa mapenzi yalivyowajaa kwa mahabuba wao🤪🤪🤪
 
Kama anazuga vile maana there was no build up to the crying.

Kulia kwa hisia kunaanziaga mbali unaziona dalili kwanza. He was just fine afu ghafla kaburst.

Maybe ndo game waliyoamua kutuchezea
 
Jamii Forum hii ndiyo inakutoa akili kiasi uhamaki kiasi hicho hadi ushindwe kudadavua hiyo tafsida imetumika tokana na kauli yako ya kuwatabiria Watu kuwa watalia kama anavyolia lia Mc Hoho mbele za Watu?

Shushia maji ya kunywa afu vuta pumzi ili upambanue hoja vizuri bila ya kujikweza kwa matusi ya kuhamaki hapa sababu hunijui nami sikujui, istoshe hakuna asiyeweza kutukana hovyo kama ulivyopaniki.

Nimekusamehe bure tu sababu umetumia hisia(moyo) kupambanua hoja badala ya kutumia akili(ubongo) kuamua kwa busara zaidi [emoji23]

Nakusisitizia hatujuani ilihali wawezajikuta unahamaki na Rafiki, Ndugu au Jamaa yako wa karibu sana, so pole sana kwa kunitafsiri tofauti hadi ukapaniki [emoji847]
narudia tena "usi quote" ninachoandika next time popote pale

majina ya kipumbavu waite hao hao,sijatabiria mtu kitu "unaniskia"

sihitaji andika gazeti tena,maelezo ya juu kama hujayaelewa "endelea"
 
narudia tena "usi quote" ninachoandika next time popote pale

majina ya kipumbavu waite hao hao,sijatabiria mtu kitu "unaniskia"

sihitaji andika gazeti tena,maelezo ya juu kama hujayaelewa "endelea"
Let me ignore you coz there's nothing beneficial matters loosed from me, hence we are capable of behavioural variation elements as human beings, just proceed with what you believe peacefully.
 
Watu hawajui kwann kaka amelia ila namuelewa huyu jamaa atakuwa alikuwa mchezaji mzuri sana ila amefika kwa bi dada akafanya ujinga mwingiiiii bi dada akavumilia na kumsaport kwa kila njia na amevumilia amesamehe na csa ypo kuendelea kumpa support mzee baba, csa mzee baba swali limemlenga pale panapo yaani limemleengaaa haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Ambapo chances za kugongewa ndiyo kubwa zaidi !

Yani ajiandae kisaikolojia tu!

Mwanamke mwenyewe yule anaonekana mwingi wa habari!

Cha msingi na sekondari ni kujitahidi fedha isikate,
Tena ni hatari sana kwetu Wanaume tuoneshapo hali ya kufa kimahaba kwa Wanawake, huwa twajizika kaburini mapema sana tungali hai kimanyanyaso.
 
Ingekuwa anatoka jamii ya kabila fulani hivi jasari lilipo kanda ya kaskazini ambalo sasa limetapakaa nchi nzima na Africa kwa ujumla angelambwa faini ya hatari.
 
Back
Top Bottom