Queenever1
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 422
- 815
Mi pia nimeona,, kalia ghafla sana km mtoto aliyefinywaKama anazuga vile maana there was no build up to the crying.
Kulia kwa hisia kunaanziaga mbali unaziona dalili kwanza. He was just fine afu ghafla kaburst.
Maybe ndo game waliyoamua kutuchezea
Yeah. Naamini ameamua kulia ndio kuwe identity yakeMi pia nimeona,, kalia ghafla sana km mtoto aliyefinywa
Hahah mkigombana kila siku anakutolea michoziMnoo kwanza nilijiskia aibu, mimi sitaki mwanaume wa vile jamani doooh
Anaigiza tu huyoHivi mbona JF ni kama hamuoni kinachoendelea kwa MC mwenye chombo yakee.
Hivi ni sahihi Mwanaume kumililia Mwanamke hadharani kama alivyofanya jamaa?
Daah! Kulia hadharani nimeshindwà kukubaliana nayo. Kama kulia, nitajiliza faragha, chumbani hukoo tena baada ya kujiliza inafata show ya haja.
View attachment 1278759
Mbona huu ni uminyaji wa Demokrasia mkuu? [emoji23][emoji23]next time kama sijawahi kuku quote popote acha mazoea,sawa sawa.
Aaaah kukeeeeeemama[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi mbona JF ni kama hamuoni kinachoendelea kwa MC mwenye chombo yakee.
Hivi ni sahihi Mwanaume kumililia Mwanamke hadharani kama alivyofanya jamaa?
Daah! Kulia hadharani nimeshindwà kukubaliana nayo. Kama kulia, nitajiliza faragha, chumbani hukoo tena baada ya kujiliza inafata show ya haja.
View attachment 1278759
Hili jamaa ni kama bado ligeni la wanawakeHapa wala haihitajiki nguvu kutambua KICHWA CHA NYUMBA ni kipi. Bidada anajieleza bila tashwishwi jamaa linalia? Huyu jamaa hawajui wanawake aisee atapata taabu sana. Nakumbuka hata siku ya send off jamaa alimwaga michozi kama yote.
Kwa jinsi ninavyowajua wanawake wanavyopenda ku control, huyu jamaa kuna kipindi kitafika ataiona ndoa chungu.