MC Pilipili anatrend baada ya kuachana na mkewe (kataa ndoa)

Tofauti yake na MC Pilipili ni degree na cheo tu ila when it comes to women they both simp as fuckkk
Umenikumbusha bwana Christopher wa Sex at dawn, aliyefanya tafiti kuhusu Love relationship, mating, sex ya homo sapiens,

Anasema Charles dawn, mwanasayansi alikuwa Mtu Smart Sana na intelligent , lakini alikuwa fala sana, Mtu mweupe sana katika kuwafahamu wanawake na Love relationship.
 
Kocha wa man city pep nae katengana na mke wake waliyedumu miaka 30, mimi ni nani nioe?
Kijani wacha woga, mifano ipo lukuki ya watu waliooa wakadumu mpaka kufa.

Charles dawn kabla ya kuoa aliandika kijitabu kuhusu advantage na disadvantage, faida na hasara za ndoa.

Faida moja wapo kubwaa hakutaka kufa kipweke au Maisha ya kipweke, hakutaka kukosa heshima katika Jamii iliyomzunguka.


Mwana FA -bado nipo nipo.
Insepecta haroun -ndoa Haina doa.
 
Kwa nin wameachana
 
Katibu wa masanja si alifarik ama huna data yaan alijiua wewe unasema tetesi
 
Mbinu za kijasusi za KGB
 
Nimependa kuna sehemu umeandika"kuna tetesi zinasema katibu kanisani kwa Masanja ß hayupo tena kanisani"πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡
 
Tatizo la mahusiano yanayoshamirishwa kwa nguvu za mitandao huwa na mwisho kama huu
 
Wanachofanya ni kilekile,kumkimbia mwanamke kumkimbilia mwanamke
Majamaa ni wajanja wa kuongea na kwenye ma TV na Video, lakini wakija field ni watepe tepe. Rule number one guard your thought, ndani yake lazima uwe na EQ kubwa, hawa kina Pilipili na wenzao wengi hawawezi ku handle emotions zao.
 
Akomee...
Aliniboa sana kumvalisha pete huku kapigw goti na kilio juu kama taahira....
Msyuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…