MC Pilipili anatrend baada ya kuachana na mkewe (kataa ndoa)

MC Pilipili anatrend baada ya kuachana na mkewe (kataa ndoa)

😆😆😆😆😆 Ila huyo wa kaskazini ndio anatutia aibu zaidi. Bora huyo faragobe wa iDodomya
Muacheni GOOD BOY apende nyie si wadudu hamjui malovee 🤭

Ila huyo wa Idodomya jau kweli mpk michozi km jinga 🤣🤣🤣😹
 
Mzeya hukuwa ata na michepuko miwili ya kufall back on to?
Wanaume wanaume ata kama umeoa usiwe na ujinga wakutokuwa na micheps anagalu miwili.
maradhi mengi bro,alaf,kuna mshikaji jirani yangu ana mke na mchepuko jirani sasa mcchepuko kapat mimba,,,baada ya mtoto kuzaliwa amezaliwa akiwa na kichwa kama ncha ya bamia,wakati jamaa ana kichwa cha mpemba,,,so,,,hamna sehem salama...andazi moto,chai moto,kikombe cha bati!!!
 
maradhi mengi bro,alaf,kuna mshikaji jirani yangu ana mke na mchepuko jirani sasa mcchepuko kapat mimba,,,baada ya mtoto kuzaliwa amezaliwa akiwa na kichwa kama ncha ya bamia,wakati jamaa ana kichwa cha mpemba,,,so,,,hamna sehem salama...andazi moto,chai moto,kikombe cha bati!!!
Aisee! Hawa wanawake ni noma sana so mcheps nae kachepuka 🤣🤣🤣🤣
Kweli dnt hate the player hate the game
 
maradhi mengi bro,alaf,kuna mshikaji jirani yangu ana mke na mchepuko jirani sasa mcchepuko kapat mimba,,,baada ya mtoto kuzaliwa amezaliwa akiwa na kichwa kama ncha ya bamia,wakati jamaa ana kichwa cha mpemba,,,so,,,hamna sehem salama...andazi moto,chai moto,kikombe cha bati!!!
Chogo sululu🤣
 
Ngoja niwaongezee picha kutoka maktaba
images (4).jpeg
 
Pilipili ana shida.
Ukifuatilia jinsi walivyokutana hadi kuanza mahusiano napo kuna shida.
Ukishaona mtu anapenda kutoa toa lawama kwenye mapenzi ujue ana shida. Kikawaida kila mtu ana mapungufu ila watu hawataki kuwa accountable kwa upuuzi wao. Anadai mwanamke ana tamaa toka mwanzo hakuona, halafu ya nini amtolee matangazo
 
Huyu mgogo akili hana.

Alikuwa anajionesha sana na huyu Mwanamke kumbe Wahuni wanamchora tu.
 
Back
Top Bottom