MC Pilipili anatrend baada ya kuachana na mkewe (kataa ndoa)

MC Pilipili anatrend baada ya kuachana na mkewe (kataa ndoa)

Kuna wazee wenye mipunga wana vitambi kimoja chali,anampindua kijana unaye msifia kupeleka moto.Siku hizi hayana formula, hata usimamie kucha unaweza kipinduliwa mwenye hela ambaye kitandani sio mzuri.
Siku zpte mwanamke anamasikio matatu usipoweza kulizibua vzr hilo la chini hayo mengine hayataweza kukusikia vizuri, dharau ndio huanzia hapo peleka motto hilo la chini uone hahahahah mbn atatulia tu
 
Siku zpte mwanamke anamasikio matatu usipoweza kulizibua vzr hilo la chini hayo mengine hayataweza kukusikia vizuri, dharau ndio huanzia hapo peleka motto hilo la chini uone hahahahah mbn atatulia tu
Hujakua bado ila huku mitaani, kuna wazee wanatamba mbele ya vijana wenye pumzi zao.
 
Pilipili ashukuru alionewa huruma akae kwa kutulia. Kwanza alianza kwa kulia lia kama dent he set himself up for failure.
Alizingua toka day 1 and all the world knew that he would be eventually be kicked to the curbs.
 
Sio poa aisee..

Mimi kuna Manzi hua namfukuzia sana, lengo kupiga ikibidi kumuoa... ila anajifanya mgumu wakati namuona mrahisi.

Katika harakati za kupeleleza kwann ananikazia nikagundua Kumbe mamamke mzazi amekufa ameoza kwangu.

Mbaya zaidi Mama ana miaka 38 na mtoto ana miaka 19 wanaishi pamoja kwahyo yawezekana wanashare story.

Mama kaolewa na ana watoto wanne, sema tatzo linaweza kua kwa mmewe maana ana miaka 58+ , labda hapeleki moto vizuri.

Kwa situation hiyo naungana na wakataa Ndoa... Haiwezekani mke wa mtu anitake kwa nguvu namna hii mpaka kumpiga stop mwanae kuwasiliana na mimi kisa wivu wake.

Mke wa mtu unamuoneaje wivu mwanaume sio mmeo! Tena anaemtaka mwanao!!!!

Harafu sasa wanajiita washika Dini, Sala 5 kama zote.... Na kuvaa gubi gubi macho tu ndio yanaonekana.

Na nasikia Moja ya sababu aliempa mwanae ili asiolewe na mimi Eti sina dini.

Sawa sina dini mbona ye mwenyewe ananitaka...
 
Ulikuwa na hoja… tatizo uwasilishaji!

Tatizo mi ninaloliona hapa ni moja, kwa case ya MC Pilipili, Ninamlaumu mwanamke, Ni kama kuna muda wanawake wanaolewa ili waondoe hiyo kasumba “ya kutokuolewa” baada ya hapo waendelee na maisha yao. Kwasababu WTF niolewe miaka mitatu tu? Ningeweza kufanya maamuzi ya kutokuolewa na nisipate madhara yoyote. Sorry not sorry binafsi ningeambiwa niolewe na pilipili ningekimbia nivunjike miguu. Ila Mena sababu ulimkubali mwenzio ulipaswa uishi nae, sababu watu wote tunajua alikuwa anakupenda, ulichofanya umemchezea mwenzio.

Msingi wa hoja yangu ni kwanini ndoa idumu less than 5 years? Maana yake kuna underlined issues ila mkaamua kuziignore, kila mmoja alikurupuka kwa nafasi yake ili mradi aolewe/aoe.

Binafsi siwalaumu watu wakiachana baada ya 10+ years, probably wamejaribu imeshindikana, less than this is highly questionable. (Merely opinions)
Jf kungekuwa na namba yako ya simu ningecopy nikurushie muamala.
 
Nguvu za rohoni? Kama umeoa mwanamke/umeolewa na mwanaume ambaye ameanza kukuchukia, kukunyanyasa na kukunyanyapaa hata uwe na nguvu za rohoni kama Yusuph hauwezi.
Sulemani alikuwa nazo na akashindwa, Daudi akashindwa pia. Tukumbuke Daudi ndie mfalme na kuhani bora wa Israel muda wote.
 
Da!!! braza mimi mwenyewe tangu mwaka 2021 niko singo,,,nilipigwa 2kio la ajabu kama yule bondia aliyekufa zanzibar!! kwa kifupi pamoja na kuishi na mke wangu kwa miaka ishiri na kuzaa watoto wanne kkujenga nyumba kadhaa,,,lakini alinipiga 2kio lilinigeuza kuwa mlevi mpaka leo hii,,,kazini wamaenistkia hawanipi kazi za ku2mia akili nyingi kwa wananiona mtambo!!!,,,,da!!!! NAWAOGOPA SANA!!
Daaah, pole sana mkuu.

Ni nini hasa kilikukuta?
 
The machine was of high maintenance unfortunately, and these boys don’t seem to understand!

Tunabaki kusema kama mmependana sawa, sisi tutawa support 😅 Kimoyomoyo tunasema mwamba kayakanyaga hamna rangi ataacha kuona!
Mkuu sijui umeamkia upande gani ila unatema cheche tu kama Lissu. Hiki unachosema ni kweli.

Watu watakwambia tu kama mmependana sawa sisi tupo nyuma yenu. Upande wa pili wa shilingi wanajua kabisa unaenda kufa.
 
Tofauti yake na MC Pilipili ni degree na cheo tu ila when it comes to women they both simp as fuckkk
Eeh cazee mbona km ulipania sana hili 😹😹

Hamna bana vijana wanapenda kweli tatizo wanawake wanaowapata hawajatulia..!! Na wao ukoromije mwingi, si unajua wote wa mikoani 😹😹🤣🤣
 
The machine was of high maintenance unfortunately, and these boys don’t seem to understand!

Tunabaki kusema kama mmependana sawa, sisi tutawa support 😅 Kimoyomoyo tunasema mwamba kayakanyaga hamna rangi ataacha kuona!
Kinachowaponza show off na ukoromije.!!
Mwenzao Mond toka sepenga amkomeshe kashajua mademu wa kupita nao, na yupi wa kuzaa naye na wa kutulia naye..!!
 
Eeh cazee mbona km ulipania sana hili 😹😹

Hamna bana vijana wanapenda kweli tatizo wanawake wanaowapata hawajatulia..!! Na wao ukoromije mwingi, si unajua wote wa mikoani 😹😹🤣🤣
😆😆😆😆😆 Ila huyo wa kaskazini ndio anatutia aibu zaidi. Bora huyo faragobe wa iDodomya
 
Back
Top Bottom