Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Hahahaha lijinga hili,, happy nyu yiaSubiri nimalize kulipa ada za watoto kwanza; nakuja na hapo kwako kukutengenezea chekechea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha lijinga hili,, happy nyu yiaSubiri nimalize kulipa ada za watoto kwanza; nakuja na hapo kwako kukutengenezea chekechea
Kampoteza jamaa kwenye gemu kabisa, kumbe alikuwa anawekeza huku?View attachment 3201069
Demu kamuacha jamaa kafungua duka.
Na kwako pia kwa kuuona; kauli mbiu ya mwaka huu, ''mwanaume chunga kibunda chako''Hahahaha lijinga hili,, happy nyu yia
Na wanawake chunga mbususuNa kwako pia kwa kuuona; kauli mbiu ya mwaka huu, ''mwanaume chunga kibunda chako''
Mficha nini...hazai?Na wanawake chunga mbususu
Jamaa kafunga kanisa, wachungaji wenzie hawamsapoti, comedy hawezi, mc kwenye harusi ana suasua.. Uyu angebaki kua mwalimu tuKampoteza jamaa kwenye gemu kabisa, kumbe alikuwa anawekeza huku?
Wengi tunaharibiwa maisha na wanawake, unawekeza sana baadaye ana U turn, muhimu kuishi nao kwa machale.Jamaa kafunga kanisa, wachungaji wenzie hawamsapoti, comedy hawezi, mc kwenye harusi ana suasua.. Uyu angebaki kua mwalimu tu
Never disclose about yourselfJamaa kafunga kanisa, wachungaji wenzie hawamsapoti, comedy hawezi, mc kwenye harusi ana suasua.. Uyu angebaki kua mwalimu tu
mficha chu chuMficha nini...hazai?
Afyatue watoto 5? Kwani McPilipili ni rijali?Ukitaka upate heshima kwa mke, fyatua watoto watano wanaofuatana, hapo heshima itakuwepo.
A man has to be punished to follow his dream,Afyatue watoto 5? Kwani McPilipili ni rijali?
Jibu🏃🏾♀️🏃🏾♀️
Kutakuwa na tatizoAfyatue watoto 5? Kwani McPilipili ni rijali?
sina jibuJibu
Sawasina jibu
Kwo wewe ndo dataz wa kipind kile cha East coast, King crazy GKKuna wanawake wameumbwa kuwa viburudisho na wengine kuwa Mama. Tatizo mnakutana Leo kesho mnaoana Kisha mnaanza kuchumbiana baadae unakuja kushtuka kumbe unachumbia Pepo.
Hii pisi baba unaweza Lia Ata wali kwenye kibumbu chakeBwaasheee, salamaaa nipo naangalia mke wetu 🤣🤣 anae mnyanyasa mgogo wa watu..View attachment 3200800
Mimi Niko phase ya pili mkuu nipo under 35 lakiniSi ndioo! 😂 Na wawapige matukio.
Mtu kama pilipili kumpenda mtu tena labda afikishe 46+ ile phase wanaume hupata their third love. Baada ya kuwa disappointed na Wa utotoni, wa ujanani na wa utu uzimani.
Unadhani sisi wanaume ndo wenye makosa au ni wanawake zetuVijana wa Karne hii akili mchele, enzi zetu unaenda kutafuta maisha miaka 10 na mke unamkuta analea familia bila shida.