MC Pilipili anatrend baada ya kuachana na mkewe (kataa ndoa)

MC Pilipili anatrend baada ya kuachana na mkewe (kataa ndoa)

ninayoandika hapa simsingizii mtu bali natoa habari zangu kwenye vyanzo vya uhakika. sasa hivi mc pilipili ana trend baada ya kutangaza kuachana na mwanamke wake na kwenda mbali zaidi kusema ana tamaa huyo mwanamke.

kwa wasiomjua mc pilipili hakukurupuka hadi kufikia hatua ya kuwa msanii maarufu na mkubwa jamaa alipambana na akajipata mwishowe akaamua kuoa huyo mwanamke wake.

mwanamke mzuri na mrembo kweli kweli kila mwanaume rijali lazima angetamani kuwa naye. yes mc pilipili akaamua kumuoa na kufanya sherehe yenye gharama kubwa sana na kufungua hadi kanisa pamoja .

kwenye akili za mc pilipili aliamini huyo ni mwanamke wake wa maisha mpka ikafikia hatua akatangaza kutamani kutoa tena mahali kwa mara ya pili yote kutokana na kuonesha kiasi gani anampenda huyo mwanamke.

mc pilipili katumia pesa nyingi sana kwenye matanuzi na huyo mke wake lakini hadi sasa wameachana mc pilipili kafunga hadi kanisa hapo unapata picha kiasi gani mc pilipili kayumba kiuchumi.

hapo sijamgusia stamina na mke wake hadi kuamua kumtolea nyimbo, bado sijamgusia mke wa masanja na katibu wake wa kanisa ambaye hadi sasa katibu hayupo tena kanisani (tetesi).

wapo matajiri wakubwa kma elon musk na bill gate walikutana na mambo hya kutoka kwa wanawake zao. bado sijamzungumzia kanye west na ugumu wake alikiri kumpa kila kitu kim lakini mwisho wa siku kim aliomba talaka.

ukisoma hapo juu utaelewa kuwa haya mambo yapo na yanatokea na sio kama yanahusiana moja kwa moja na mahusiano yangu binafsi hapana bali ni mahusiano yote kwa ujumla.

mwanamke mwenyewe hajui anataka nini muda mwengine mwanamke namfananisha kma mtoto ambaye anaomba umnunulie mdori unamnunulia kesho akienda kwa mtoto mwenzie akiona kuna mdori ambao hana yeye lazima atakulazimisha umnunulie huyo mdori.

kwa kifupi hawajui wnachokitaka wanaendeshwa na hisia zao zaidi za wakati huo ndo maan mke wa mabeste akuona shida kumuacha mabeste licha ya mabeste kumhangaikia akiwa mgonjwa.

mwanamke hajali umekuwa naye kwenye mahusiano kwa muda gani mna watoto wangapi anachojali yeye ni hisia zake kwa wakati huo. kw kifupi wanawake wengi ni wabinafsi ndo maana ukikuta mwanamke anampa pesa mwanaume jua ni mtego tu muda wowote atakukumbusha kuhusu hiyo pesa.

mwisho, mwanaume ana mengi ya kupoteza kwenye mahusiano na hata ndoa kuliko mwanamke. usiniulize kwanini diamond licha ya kutembea na wanawake kibao warembo kwanini haoi, usiniulize kwanini CR 7 haoi licha ya utajiri walionao, wote wanajua kuwa kwenye ndoa wana mengi ya kupoteza kuliko wanawake zao na usishangae kwanini wako karibu sana na mama zao.

Follow Daniel Lokamacheki
Tuishi nao kwa akili
 
Pilipili ashukuru alionewa huruma akae kwa kutulia. Kwanza alianza kwa kulia lia kama dent he set himself up for failure.
The machine was of high maintenance unfortunately, and these boys don’t seem to understand!

Tunabaki kusema kama mmependana sawa, sisi tutawa support 😅 Kimoyomoyo tunasema mwamba kayakanyaga hamna rangi ataacha kuona!
 
Huwaga na semaga kuna kipindi kitafika kuoa kutakuwa kama ni kitendo cha kishujaa. Viongozi wa dini wengi ukiwauliza, watakuambia wanatumia mda mwingi sana kusuluhisha migogoro ya ndoa kuliko shughuli nyingine za kiroho.Yani kuna migogoro mingine inakuwa kama series.
 
Duuh kazi ipo,,halali wanaume watuogope
Si ndioo! 😂 Na wawapige matukio.

Mtu kama pilipili kumpenda mtu tena labda afikishe 46+ ile phase wanaume hupata their third love. Baada ya kuwa disappointed na Wa utotoni, wa ujanani na wa utu uzimani.
 
Tuishi nao kwa akili sana ni viumbe dhaifu lakini ni hatari mno.
Na wengi wanaooa ni wale ambao hawana akili mwanaume mwenye akili haoi mwanamke yaan atakagua weee umri unapaa tu na ulisikia wapi mwanamke anakubari kuolewa na mwanaume mwenye akili mwanamke anakubari kuolewa na mwanaume lofa akikugundua wewe una akili hakubari kuolewa na wewe habadani hasilani
 
Kwenye hili MC pili pili ndo alikuwa mpumbavu, mwanamke ukimuonyesha kwamba unampenda sana ndio inavyokuaga
Akili ziliporudi ndipo akagundua kua amepotea ila mwanzo alikua lofa, sasa mwanamke ukianza kumuonyesha una akili na akikugundua kweli akili zinachaji umekula kwako lazima mtibuane wanawake wanapenda wanaume malofa malofa hawapendi wanaume wenye akili mwanaume mwenye akili kweli anajua kuzitumia akili zake hawezi kwenda sawa na mwanamke

Mc Pilipili alikua lofa zoba kabisa zezeta kwa mwanamke wake, sema sijui kaenda kuoga maji ya visima saba au kaenda kuogea maji ya katikati ya bahari ndio akili zikarudi anashtuka kumepambazuka akili zinaanza kuchaji kwamba hapa kwani kuna nini sasa mwanamke hilo hataki mwanamke na mwanaume mwenye akili wapi na waapi yeye anataka uwe lofa lofa flani hivi hapo mtaenda sawa
 
Hakuna mwanamke anaekubari kuolewa na mwanaume mwenye akili, mwanamke anakubari kuolewa na mwanaume lofa lofa tu tena mwanaume akianza kuonyesha ana akili mwanamke anamlia gepu amteme mazima akishindwa anapiga kipapai ili awe lofa lofa nani kakwambia mwanamke anamtaka mwanaume mwenye akili?
 
Siku zote wewe ni mkweli kwenye hii mijadala.
Mwanaume akivuka miaka 40 kuelekea 50 akasema sioi ndio bye bye huyo haoi tena yaan atabakia bachela for life hana mke ila ana watoto, hakuna mwanamke anaekubari kuolewa na mwanaume mwenye akili namaanisha ili umuoe mwanamke inabidi uonyeshe kiwango chako cha ulofa to the maximum ni jinsi gani wewe ni lofa hapo ndio mwanamke anakubari umuoe
 
Back
Top Bottom