PHD Holder
Member
- Sep 12, 2024
- 68
- 107
Acha kulalamika nenda Tarime utapata somo Kule mwanamke hata akiolewa watoto ni mali ya mume wa kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu ka-ufafanuzi kidogo apaAcha kulalamika nenda Tarime utapata somo Kule mwanamke hata akiolewa watoto ni mali ya mume wa kwanza
Yanga amepata mke ?Pole mc Pilipili, hongereni Yanga.
Hebu ka-ufafanuzi kidogo apa
Kuna wazee wenye mipunga wana vitambi kimoja chali,anampindua kijana unaye msifia kupeleka moto.Siku hizi hayana formula, hata usimamie kucha unaweza kipinduliwa mwenye hela ambaye kitandani sio mzuri.Usikute mwamba alikuwa hapeleki moto vzr [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] waongeaji siku zote hua ni maloofer
Kumbe kuna wanawake mna mioyo mizuri hivi na akili mingi.Dada we acha tu! Kuna sababu nyingi sana zinawafanya wanawake waolewe hiyo ni moja wapo.
Sema ni tabia mbaya sana, Mtu akikupenda akaamua kukuoa anakuwa invested sana, hatakiwi kuwa disappointed kirahisi rahisi.
Tusiojua kugegeda kwa kweli kazi tunayo...watatugegedea wake zetu mpka basiUsikute mwamba alikuwa hapeleki moto vzr [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] waongeaji siku zote hua ni maloofer
Mzeya hukuwa ata na michepuko miwili ya kufall back on to?Da!!! braza mimi mwenyewe tangu mwaka 2021 niko singo,,,nilipigwa 2kio la ajabu kama yule bondia aliyekufa zanzibar!! kwa kifupi pamoja na kuishi na mke wangu kwa miaka ishiri na kuzaa watoto wanne kkujenga nyumba kadhaa,,,lakini alinipiga 2kio lilinigeuza kuwa mlevi mpaka leo hii,,,kazini wamaenistkia hawanipi kazi za ku2mia akili nyingi kwa wananiona mtambo!!!,,,,da!!!! NAWAOGOPA SANA!!
Kwa hiyo bado anasasambua mbususu ya mremboMbona mwenyewe alikataa hawajaachana... waja mnapenda ndoa ya mwenzenu ivunjike mpate cha kuongea
Hii nayo point. It explains why ndoa za mabibi na mama zetu zilidumu.Wengi wanaoachana wana mtoto mmoja au wawili; kuwa na watoto wachache kunamfanya mwanamke asiwe bize na hivyo kumyumbisha mwanaume
Ah kwa kuwa mie ni boda boda pia nasema sie maboda boda wacha watuchapie wake zetu maana sie huku kwenye mishe zetu tunagegeda sana wake z watu mpaka tunahongwa na hao wake za watu. So malipo here here in this worldUzi umekuja muda muafaka
Iko hivi takribani kama wiki mbili tatu hivi nilikaa tu juu ya mawe home ,hapa jirani yangu kuna jamaa wa boda boda na jirani tena kuna jamaa ni fundi fundi tu mitaani,
Kumbe yule boda akiondoka alfajiri tu mke huyoo anahamia kwa fundi nyumba jirani,
Mwanzo nilijua labda wana shida zao tu za kawaida ila hali iliendelea mara kwa mara tena nikaanza kumuona yule dada anabeba mpaka chakula toka ndani kwake anapeleka kwa fundi😪😪
Kufupisha stori yule mke wa mtu kwa sasa ndio kazidisha hata saa kumi na mbili anaipeleka ,
Nimeangalia ile picha na kutafakari mengi sanaaaaaa,
Wanawake sio poa jamaa anapigwa na mabaridi huko wengine mpaka wanalala juu ya piki piki na tunawaona ili familia ipate mahitaji muhimu ,kumbe mwenzako huku anabeba chakula ulichotafuta kwa tabu anapeleka kwa jirani ,
Inaumiza kiasi gani
Uchoyooo huo mbususu nayo ni kitu ya kumnyima mwanaume kweliNa wanawake chunga mbususu
Muhimu jamani wee mwanume umekojowaaa, mwanamke lolote limkute hatujaliKuna wazee wenye mipunga wana vitambi kimoja chali,anampindua kijana unaye msifia kupeleka moto.Siku hizi hayana formula, hata usimamie kucha unaweza kipinduliwa mwenye hela ambaye kitandani sio mzuri.
Una uhakika unachoongea hakuna watu walofanyia kazi na bado yakawashinda, kumbuka moyo wa mtu kichaka uwazavyo ww sio anavyowaza mwenzio.Nguvu za rohoni zinaanza Kwa KUJUA nikiingia kwenye ndoa na huyu mwenza atanifaa? Ni mwenza sahihi? Tutaishi Kwa mafanikio? Hazianzii baada ya kufunga ndoa.
Aisee! Tukiwaambia kuwa wanawake ni mashetani wenye mbususu tamu wanabisha.Jamaa kafunga kanisa, wachungaji wenzie hawamsapoti, comedy hawezi, mc kwenye harusi ana suasua.. Uyu angebaki kua mwalimu tu