Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

Jirani una ubuyu mzito na hujanipa?? Nafuta ujirani na wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Jirani una ubuyu mzito na hujanipa?? Nafuta ujirani na wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kale kalisoma Education, chemistry with computer science, sie tulikua Mechanical Engineering na Jamaa yake Godfrey. Kiukweli nafahamu kama washkaji 3 waliokapiga kabla hakajasetle na mshikaji kama mke na mume.

Halafu kanapenda sana EngineersπŸ˜…πŸ˜….
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwahiyo kilianza kitambo kufumuliwa mixer mitungo??
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwahiyo ukajichukulia mgao wako??
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwahiyo kilianza kitambo kufumuliwa mixer mitungo??
Ona unavyopenda hizo storyπŸ˜…πŸ˜…. Jirani next week pls tukapate dinner paleee samakisamki Mlimani city ili unikampani.

Lakini hivi nikweli juice ya watermelon kuuziwa elfu 5 grass Moja?. Ina kipi cha special?, bei za samaki samaki kwa ww mkinga huziwezi.πŸ˜…
 
Jirani na wewe mdau wa mcity?? Hivi mnapapendea nini wana JF πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Jirani na wewe mdau wa mcity?? Hivi mnapapendea nini wana JF πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nimeanza kwenda February ya mwaka huu pale, sema Huwa nakaa kaa pale mida ya jion hasa weekend au Pale instanbul, nimevutiwa tuu sielewi Kwa nn sehemu nyingine unakuta Fujo nyingi lkn pale angalau watu wametulia wanapiga story nawatu wao huku washushia kinywaji(Mie sinywi). Next weekend twende jirani.πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…