KUKU_UFUGAJI
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 857
- 1,727
We ume olewa Niffah ?!Ndoa hizi? Mungu atusaidie tu. Wala sio mambo ya kuchekana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ume olewa Niffah ?!Ndoa hizi? Mungu atusaidie tu. Wala sio mambo ya kuchekana.
HapanaWe ume olewa Niffah ?!
Tatizo lipo kwa watu wanao ingia katika ndoa kwa kukurupuka, wengi wao hupenda sana kufanya sherehe za gharama kubwa ilhali hawajawahi kupendana Ila wametamaniana tuKadiri siku zinavyosonga mbele ndivyo taasisi ya ndoa inazidi kupata pigo kubwa na inazidi kuelekea kibra.
na pisi zote hizi
He made the worst mistake of all, simping, hapa mwanamke hakuachi salamaTulijua hili lingetokea. Mwamba alionyesha wazi kua yeye ndio kampenda zaidi mwanamke kuliko mwanamke alivyompenda yeye.
Alionyesha wazi kua yeye ndiye aliyekua anahitaji sana ndoa kuliko mwanamke alivyokua anaihitaji. Kwa kifupi tu ni kwamba he was a simp! Women never get along with simps!!!
Yule demu wake ni mtamu asikwambie mtu, ana alama kwenye nanii.
Sawa ila atleast una misimamo.Hapana
Toka porini utazionaZipi hizo?
Ndio iliyo mgharimu had leo anangoja ndoa, mwanamke kuheshimu mme sio misimamoSawa ila atleast una misimamo.
Na huku moto umepamba moto 👇Baba mchungaji huyu amefunguka kuwa hayupo katika ndoa kwa sababu ya kufilisiwa na mwanamke.
Amesema kwa sasa yupo na Pacome.
Tumuombee arudiane na mkewe. View attachment 2926310
Huenda yumo humu humu kajaa mihasira ya kufilisiwa na sasa atajiunga na timu kataa ndoa ili kukazia hasira yake.Baadae aje humu na Id fake za kataa ndoa.
Wahuni nao wamepamba moto 😂😂Na huku moto umepamba moto 👇
Kataa ndoa ni hazina ya kesho
Hii Sera ya kataa ndoa ni Sera ya msingi na muhimu mno. Itasaidia kuonyesha ukweli na njia ambazo vijana Wanazo Ingia Chaka. swaga nyingi, michango, Picha kibao, halafu mwishobwa siku una Baki una Lia Lia. maigizo, kilio, Kisi kudanganye kijana. Mwenyekiti wa kataa ndoa ni, Liverpool VPN, 02...www.jamiiforums.com
Tabia ndio kikwazoMke wake ni M cute😍😍. Warudiane tu
Njoo inbox tuyajengeHapana
Hadi mchungaji kalalamika kufilisiwa na huyo mdada bado unaamini tu kuwa ni wapenzi?Na sidhani kama kweli wameachana