KUKU_UFUGAJI
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 857
- 1,727
Basi kazidisha misimamo sasa...Ndio iliyo mgharimu had leo anangoja ndoa, mwanamke kuheshimu mme sio misimamo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kazidisha misimamo sasa...Ndio iliyo mgharimu had leo anangoja ndoa, mwanamke kuheshimu mme sio misimamo
Kwa hiyo?yaani mnaanzishaga nyuzi kana kwamba kila atakae soma alizaliwa kipindi cha uzazi wa mpango yani...😎
Week hii mna flag kinyama yaani.....NDOA NI AINA MAUAJI YA KIMWILI KIROHO NA KIUCHUMI YALIYOHALALISHWA NA KIKUNDI FULANI HIVI CHA WAHUNI.
KATAAA NDOA...
Labda yupo.Baadae aje humu na Id fake za kataa ndoa.
Umeshatutapeli bandari yetu pesa unahongea wake za watu? 😀Yule demu wake ni mtamu asikwambie mtu, ana alama kwenye nanii.
Huyo dogo asikusababishie dhambi my sisyUmeshatutapeli bandari yetu pesa unahongea wake za watu? 😀
Friedrich Nietzsche njoo uchague Namba ya spana huku chagua hapo unachukua ipi 27 au 30
kweli ivumayo haidumu![]()
Sasa kwanini umecheka?😂[emoji23][emoji23]kweli ivumayo haidumu
Hizi Point 3 za muhimu sanaKataa ndoa bado hamjaelewa tu ?
Hahahaha sisi kataa ndoa tunacheka tu HahahahaNdoa hizi? Mungu atusaidie tu. Wala sio mambo ya kuchekana.
Kuna mwenye namba ya mtalaka wake anipatie?Baba mchungaji huyu amefunguka kuwa hayupo katika ndoa kwa sababu ya kufilisiwa na mwanamke.
Amesema kwa sasa yupo na Pacome.
Tumuombee arudiane na mkewe. View attachment 2926310
Atupe mgao bwana, uchoyo si mzuri…Huyo dogo asikusababishie dhambi my sisy
Kata Ndoa wameshachukua Point 3 mpaka hapoNdoa hizi? Mungu atusaidie tu. Wala sio mambo ya kuchekana.
Watakuelewa?NDOA NI AINA MAUAJI YA KIMWILI KIROHO NA KIUCHUMI YALIYOHALALISHWA NA KIKUNDI FULANI HIVI CHA WAHUNI.
KATAAA NDOA...
Kataa ndoa, jiunge na chama hiki [emoji116][emoji116]Baba mchungaji huyu amefunguka kuwa hayupo katika ndoa kwa sababu ya kufilisiwa na mwanamke.
Amesema kwa sasa yupo na Pacome.
Tumuombee arudiane na mkewe. View attachment 2926310
Ila usisahau Ndoa yake Jamaa ilimuacha na Jeraha kubwa sana, alipata msiba wa hapo kwa hapoPia ukiwa na hela hupaswi kuoa kizembe zembe hajaona mfano kwa MC mwenzake Garab.
Point 3 muhimu sanaUkishaweka ndoa yako mitandaoni ujue hiyo ndoa inaenda kwenye life support machine. Bado Manara.