Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

emoji23.png
emoji23.png
kweli ivumayo haidumu
Friedrich Nietzsche njoo uchague Namba ya spana huku chagua hapo unachukua ipi 27 au 30
 
Baba mchungaji huyu amefunguka kuwa hayupo katika ndoa kwa sababu ya kufilisiwa na mwanamke.

Amesema kwa sasa yupo na Pacome.

Tumuombee arudiane na mkewe. View attachment 2926310
Kataa ndoa, jiunge na chama hiki [emoji116][emoji116]

 
Back
Top Bottom