Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

Huyu alishindwa kuwekeza zama zake. Kapata sana hela miaka ya 2015 mpaka 2018... yeye alikuwa Mc mkubwa sana. Na u mc wa harusi ni kazi inayoleta hela nyingi ndani ya siku moja.. ukichanganya kazi za mwezi mzima kupata milioni 10 ni rahisi sana.

Pia standy up comedy amefeli sababu hakuwekeza pia kwenye ujuzi zaidi. Wamekuja vijana wapya wamempita sokoni.

Ma Mc wenzake wana maisha mazuri sababu wanawekeza. Hela hawachezei.

Garab alivyotoboa tu hakurudi nyuma tena.. kila mwaka anajenga appartments tu.

Pia ukiwa na hela hupaswi kuoa kizembe zembe hajaona mfano kwa MC mwenzake Garab.
Kwan garab hajaoa?
Ana mke na watoto kadhaa
Afu nn maana ya apartments?samahani kuuliza
 
Kwan garab hajaoa?
Ana mke na watoto kadhaa
Afu nn maana ya apartments?samahani kuuliza

Ameoa ila hajaoa kizembe zembe.

Kaoa demu mambo safi.. anayetoka familia iliyonyooka..

Garab hajaoa mdada macho juu juu .

Kaoa mtoto wa msomi mambo safi Dr wa udsm

Appartments ni nyumba za kupangisha za kisasa
 
Ogopa kuoa jini mufilisi, wanaume hunyamazia mengi Numbisa sa
images.jpeg
 
Ukishaweka ndoa yako mitandaoni ujue hiyo ndoa inaenda kwenye life support machine. Bado Manara.
Kuna yule bonge kakaake huyu toka Mpwapwa Le Mutuz.
Tulikua nae humu toka NYC,Field Marshall.
Kapigwa tukio huko na mama watoto kaja kulia lia hapa.
Kakimbilia bongo na dola 1000.
Hilo kasema yeye zamani tu.
Karudi kawa tena mzee wa mabebez
Mpaka kifo
Hayo mambo sio ya kuongea humu ,unapiga unakausha siku imeisha..
Humu ni story tu muda uende,sielewi watu wanapata wapi ujasiri kuongea mapenzi yao humu.
 
Tulijua hili lingetokea. Mwamba alionyesha wazi kua yeye ndio kampenda zaidi mwanamke kuliko mwanamke alivyompenda yeye.

Alionyesha wazi kua yeye ndiye aliyekua anahitaji sana ndoa kuliko mwanamke alivyokua anaihitaji. Kwa kifupi tu ni kwamba he was a simp! Women never get along with simps!!!
Unamzungumzia Haji manara au?
 
Back
Top Bottom