Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Huyo kijana pilipili na mwenzake yule mchumba wa wema Huwa wanafosi kufanya comedy sema kipaji ndo hawana hayo mambo wamwachie mpoki na joti ndo wanayaweza!
Tena kama mchumba wa wema anaFORCE balaa hadi kugeuza sura na sauti, kuigiza kipaji ukitaka kujua msikilize mpoki sauti ile ile lakini Maneno utavunja mbavu