Mc Pilipili utanisamehee kwa ukweli huu "huna kipaji cha kuchekesha"

 
Tuangalie wenzetu kenya wanchokifanya kwenye churchill akina mc tricky, butita, mc jessy na wengine kibao.... Sijaona stand up commedy tz we just pretending to be... Tuwe wabunifu.... Au Sijui nianze kufanya mwnyw
 

True yule anajichekesha mwenyewe
 
Mnataka mwenzenu arudi kwenye chaki,bora akomae huko huko angalau visenti vipo
 
Alafu jamaa ana kisauti flani hivi KIBAYA ...anakuaga kama anapiga mayoe...

Ukitaka stand-up comedians...
Cheki na hawa...kervin heart,jemie fox,eddy muffy,rowans Atkinson (mr.ben) ,jimy carry,jay pharral,chriss rock

(Sina uhakika na spellings za majina yao)

Mpamile,omondi,masanja,mpoki,dogo pepe,bukuku evance,kansime,daywalker,

Ukimaliza hao woote ,njoo umuangalie Mc pilipili...hapo ndio utaunga mkono hoja hii ya mtoa mada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…