Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
- Thread starter
- #21
Na tatizo ni moja ..Instagram zinawatengeneza Watu wenye Fake Talents " Vipaji Hewa" . Simply tu coz kule kuna Fake Funns , Fake likes , Fake Comments , sasa hii inatuketea shida pale muhusikia anayedhani kaiva anapokuja kukutana na uhalisia wa soko .Kinachowa cost hawa ma celeb wa kibongo ubunifu ni sifuri ni watu wa kucopy copy sana hawajui ili ukubalike unabidi uwe mbunifu lakini pia ushamba mzigo pilipili ni bonge la mshamba ukiangalia video zake akiwa uko usA mpaka aibu