Mc Pilipili utanisamehee kwa ukweli huu "huna kipaji cha kuchekesha"

Mc Pilipili utanisamehee kwa ukweli huu "huna kipaji cha kuchekesha"

Mpamire, Omondi na pilipili are on the same level.... Fuatilia show ya wakenya inaitwa Churchill mzee utakubali kabla hujaenda kimataifa kwa kina travor Noah
 
So long aliwafunika juzi Eric Omondi na Teacher Mpamire nadhani tumpe moyo na tuzidi kupenda vya kwetu.
Mpamire, Omondi na pilipili are on the same level.... Fuatilia show ya wakenya inaitwa Churchill mzee utakubali kabla hujaenda kimataifa kwa kina travor Noah
 
Kuna mambo ya kupeana support na kuna mambo pia ya kuelezana ukweli, siko hapa kumkatisha mtu tamaa ila My Brother Mc Pilipili sanaa ya Uchekeshaji imekupiga Kanzu.
Speed ya standup comedy ilipo na ww unachokifanya ni Kigoma na London.

"Wapaka mafuta kwa mgongo wa chupa hamtakosekana kussuport comedy ya huyu mtu kinafiki,ila kwa mm binafsi,
Lazima tuiite beleshi beleshi na sio kijiko kikubwa. !"

Mc pilipili Ukumbuke tu,si kila anayepiga makofi basi anakupongeza , ukitaka uhakika muulize "Mbu".

WEWE SI MCHEKESHAJI.

AHSANTENI.


Aisee mandella umeongea point. Hakika huyu dogo analazimisha tu kukaa mjini, sioni ukomedy wake hata kidogo zaidi ya kubangaiza tu na kulazimisha kuwa a comedian. Hachekeshi wala nini.
 
Haha hata idris sioni anachofanya kwenye stand up comedy..

Povu ruksa


Nako ka Idriss ni another disaster....kajamaa wala hakachekeshi hata kidogo. Bongo comedians wengi hawajuwi maana ya comedy, utakuta kila kitu wao wanadhani ni comedy na ndipo wanapoboa watu hapa. Wengi wao hawajuwi kusoma alama za nyakati. Very pathetic of them.
 
mtoa post nakuunga mkono

Jamaa ana force tu indeed hana kipaji. Ndo maana nasema sometimes maisha ni bahati tu. Kapata zali tu kama tatizo mzuka basi. Hana comedy hana nini. He is just a lucky clown
 
Ila Diego Costa ni bonge la straika... Ile kampeni yake ya uchaguzi wa marudio hata haikufua dafu kwenye ufaulu wake katika kusma quran
 
Back
Top Bottom