Alijivua taji mwenyeweHuyu ndio alilia kwa kwikwi, Akawa hajiwezi wakati anaengage? 🤣🤣
Pale ndio alihamisha ufalme.
Tupaki unafoka kishenzi 😂Asitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.
Alooh...nyie watu wabaya sana yaani mnawakojjolea watoto wazuri lakini hamtaki kuwaoaTamaa alikua nayo mwenyewe kwa kuendekeza Genye watu tunaoa watu wabovu aisee. Halafu hawa wengine ndio chapaaa
Na jinsi alivyo Hana kabaAlijivua taji mwenyewe
Duh hurumaaaaaaaMc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!
View attachment 3196832
Yamemkuta, anadhani sote tutakuwa kama yeye.Tupaki unafoka kishenzi 😂
Mc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!
View attachment 3196832
Anatushauri vijana ambao bado hatujaoa, nadhani ashapata funzo ndio maana natoa ushauri!Asitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.
Ila Pilipili aliingia na gia ya umaarufu na pesa kwa huyu bidada, kingine sijui background ya bidada lakini kuna watu huwa wanataka kwa udi na uvumba kuwa waishi kwenye level fulani ya kifedha sasa ukimuonyesha kuwa una potential ya kuwa kwenye level hiyo atakuona wa maana siku ukianza kuonyesha hukumaanisha au pesa ikiyumba lazima naye lazima azingueMc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!
View attachment 3196832
Aliingia kichwa kichwa, amekula za uso.Anatushauri vijana ambao bado hatujaoa, nadhani ashapata funzo ndio maana natoa ushauri!
Nyinyi Malegendary mlishaona mbali kitambo na kusoma mchezo, mwana alikaribishwa mjini!
Shida alikurupuka kuchukua asie wa level yake.Mc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa kuepuka kuoa wanawake wenye tamaa ya mali na maisha ya gharama!
View attachment 3196832