Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabinti wa kichagaz wametulia eeeee😅😅😅😅😅..
Mwanamke akiwa na exposure kubwa sana kuliko mwanaume.. kutuliaa ndani labda awe Binti wa kichaga, au miguu ikatike ila Hawa wengine kama kipunga
Ndugu usiongee ukamaliza.....haya mambo hayana ujuzi....na watu hubadilika.....na bahati mbaya hubadilika wakati wewe unamuhitaji.....Asitushauri sisi, kwake ndio liwe funzo, sisi hatuolei akili za nyege, hatuoi kisa mzuri sana, hatuoi kwa kuangalia matako, hivyo ni sifa za nyongeza, tunaoa mwanamke mwenye hadhi ya kuitwa MKE.
hili nimejiuliza hata mimi,labda kama kuna mabinti wa kichaga wengine nje ya hawa tunaowajuaMabinti wa kichagaz wametulia eeeee
😋😋😋🤣
Nakubali Nakubali.Yamemkuta, anadhani sote tutakuwa kama yeye.
Kumuhubiria mlevi, ama mlevi kumuelezea muumini utamu wa pombe.
Akubali kakosea, aseme amejifunza na sio kutushauri sisi.
Mwanamke ana exposure kuliko mshikaji, lazima cha moto akione. Mwanamke ambae yupo kwenye spot light 🚨.. kutafuta shida tuAliingia kichwa kichwa, amekula za uso.
Tunawatolea wapiKidogo nafatilia celeb.... sasa Kuna siku pilipili akiwa na huyo mke wake sikumbuki kituo alichokuwa anahojiwa akaulizwa...... Kuhusu mahusiano akaanza kulia kama kawaida yake,
Mkewe na uso wa ki.. innocent akawa anambembeleza mumewe hapo Ila nikasema hapa kaaazii kweli kweli
Ndugu zangu katika Khabar Nifah Mwachiluwi
Mwanamke wa kuoa ni wa kichaga tu, wanajua maisha Wana focus, hawana ujinga ujinga, labda alie aliemuoa aanze ujinga.. hapo ndio ataona baraa.. Nawashauri vijana wenzagu twendeni uchagani tukaoeMabinti wa kichagaz wametulia eeeee
😋😋😋🤣
Hata selewii 😂Tunawatolea wapi