Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Naunga mkono hoja🤣🤣Kila mtu aoe mwanamke anaye mudu...mambo ya kulalamika oh mwanamke tamaa huo ni umama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja🤣🤣Kila mtu aoe mwanamke anaye mudu...mambo ya kulalamika oh mwanamke tamaa huo ni umama
Unakazia mzee 😂Ni kujitakia
100% ✓Kila mtu aoe mwanamke anaye mudu...mambo ya kulalamika oh mwanamke tamaa huo ni umama
Huyo mke wa pili pili sikuwaha najua kama mke wa pili pili, ila nilikuwa namuona sana Instagram, usema kweli pili pili ngoma nzito ileUnakazia mzee 😂
inawezekana alikuwa hajawah kumnyanduaHuyu ndio alilia kwa kwikwi, Akawa hajiwezi wakati anaengage? 🤣🤣
Pale ndio alihamisha ufalme.
wa insta...... Huko ndo makazi yake yalipoHuyo mke wa pili pili sikuwaha najua kama mke wa pili pili, ila nilikuwa namuona sana Instagram, usema kweli pili pili ngoma nzito ile
Wacha Hio, lile tukio la wakati anamuengage uliliona🤣🤣 kwetu Rebu, Mwanaume wa vile anauwawa na litungu inapigwainawezekana alikuwa hajawah kumnyandua
Vijana wanapenda vitu kama hivyo, ila ndani kuishi nae kama kujaribu kufuga koboko 😅😅Ni dada
wa insta...... Huko ndo makazi yake yalipo
Kwakweli nikishaoa Mimi mke wangu ishu za social nini hizo insta mara TikTok Tena kavaa tight tule twepesi mwingine yupo na hivi vikaptula na shati ........
Tutashindwana wallah
Umemuita dogo😀😀😀 sawa kaka mkubwaHuyu dogo na mkewe siku ya harusi tu, jamaa anaambiwa na mchungaji fuatisha ninayosema:
Ikifika mahala kwenye mazuri, mabaya, magonjwa sijui tuwe pamoja yeye Mc na utoto wake maneno kama mabaya, magonjwa hayataji anabadirisha anatunga maneno yake.
Bkudfuken basi tu mfungishaji ndoa alikua na subira
Taabu tupu bwasheeVijana wanapenda vitu kama hivyo, ila ndani kuishi nae kama kujaribu kufuga koboko 😅😅
Wanapenda fuga koboko, jamaa kama alipenda mazimaa kabisa hakuacha akiba ndio maana anatapatapa Hadi aje kupona hapo atakuwa kaisha kabisa 😅 😅 😅Hhhhhhh ni
Taabu tupu bwashee
Nilijua tuu hapa lazi.a uonekane ia nikikutongoza unakimbia 🤣🤣🤣100% ✓
Kwema. Happy New Year mshkaji wangu wa nguvu!!Nilijua tuu hapa lazi.a uonekane ia nikikutongoza unakimbia 🤣🤣🤣
Kwema lakini mrembo mzuri mzuri?
Hawa hamna kitu aisee kaa nao mbaliiMabinti wa kichagaz wametulia eeeee
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji1787]
Hahahahaha shida tupu bwashee.....Wanapenda fuga koboko, jamaa kama alipenda mazimaa kabisa hakuacha akiba ndio maana anatapatapa Hadi aje kupona hapo atakuwa kaisha kabisa 😅 😅 😅
Second you SirUkiachilia mbwembwe zake zile za "forever and for always" Kipindi cha ndoa,
Yaliyomkuta ndio yanayoendelea mtaani na sio story, tofauti tu yeye ni maarufu na wengine hawajulikani. Na ninajua hapa kila mmoja atageuka kungwi hata kama alichokiacha nyumbani au kitandani anakijua kinavyomnyima usingizi.
Kwa hiyo Hakuna fundi wa ndoa au malezi bali ni kudra za Mungu tu